Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Duh..Mara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge Mheshimiwa January Makamba aliweka utaratibu wa wana Bumbuli kutoa kero zao
View attachment 2972079
Lakini pamoja na kero hizo kutumwa hali ndio kama mnavyoona .
View attachment 2972080
Mchakato wa kutafuta mkandarasi mpembuzi bado unaendelea na upo kwenye hatua nzuri, na muda si mrefu utakamilika baada ya mchakato wa kutafuta kamati ya kuchakata maombi ya wataalam watakaofanya mchakato wa kumpata mkandarasi mpembuzi kukamilika.Wananchi wengi wanasema Mbunge wao ni mbunge wa Kiangazi
Mijitu ya aina hii hainaga msaada kazi yao majungu, uongo na kukwiba! Hata baba yake yuko na alikuwa hivyo!Mara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge Mheshimiwa January Makamba aliweka utaratibu wa wana Bumbuli kutoa kero zao
View attachment 2972079
Lakini pamoja na kero hizo kutumwa hali ndio kama mnavyoona .
View attachment 2972080
Inzeze sanaMchakato wa kutafuta mkandarasi mpembuzi bado unaendelea na upo kwenye hatua nzuri muda si mrefu utakamilika baada ya mchakato wa kutafuta kamati ya kuchakata maombi ya wataalam watakaofanya mchakato wa kumpata mkandarasi mpembuzi kukamilika.
SIJUI UMEELEWA!!??
Unaambiwa alikuja kuomba kura bila Tai ila baada ya kupata akaanza kuvaa Taifa !kiongozi makini hujali taifa kwa ujula
hata mwalimu hakusukumiza mandeleo butiama pekee
Mkuu tembelea Namibia π³π¦ na Botswana π§πΌ kupo super,A3 yao ni super pamoja kuwa inapita kwenye national park (more than 300km za mbugani tu),pale mikumi national park (50km kuna matuta yasiyopungua 40!!na wanaopita pale hasa usiku pls guys kuwa careful,kuna handaki pale linaumiza magari kila siku ,lipo pale getini ukitokea Duma,ni hatari mno)Nchi za AFRICA zote hufanana ukitoa waarabu na south Africa
Maendeleo ya eneo lolote hufanywa na wakazi husika kutokana na fikra na vitendo vyao katika shughuli za kiuchumi (mbunge ni mwananchi anayewakilisha maoni na kero zao bungeni, ili serikali ipate taarifa ikatatue, hasa kwa zile huduma muhimu kama elimu, afya, barabara, maji, ....).Lushoto ilitakiwa iwe ni Switzerland π¨π ya Tanzania,nilibahatika kufika kule last December,Mwenyezi Mungu kawapa super wilaya ila wale wabunge wake 3 ni zeros kabisa,yaani hawawezi kujenga hata ile barabara ya mombo to mlalo,yaani barabara ipo vile vile alivyoiacha mjerumani,ilitakiwa ile pass ilambwe vema,jenga cable cars kutoka kule milimani hadi barabara kuu ya Moshi,jenga virukio vya maparachuti,yaani hizi ni vyanzo vya usd tu,vijana wake wamekua vibarua na maisha yao wamejikatia tamaa
Itoe na Botswana na Mauritius na Cape Verde.Nchi za AFRICA zote hufanana ukitoa waarabu na south Africa
Nimemuongezea Mauritius na Cape VerdeMkuu tembelea Namibia π³π¦ na Botswana π§πΌ kupo super,A3 yao ni super pamoja kuwa inapita kwenye national park (more than 300km za mbugani tu),pale mikumi national park (50km kuna matuta yasiyopungua 40!!na wanaopita pale hasa usiku pls guys kuwa careful,kuna handaki pale linaumiza magari kila siku ,lipo pale getini ukitokea Duma,ni hatari mno)
Ikumbuke kwamba January Makamba alipita bila kupingwaMaendeleo ya eneo lolote hufanywa na wakazi husika kutokana na fikra na vitendo vyao katika shughuli za kiuchumi (mbunge ni mwananchi anayewakilisha maoni na kero zao bungeni, ili serikali ipate taarifa ikatatue, hasa kwa zile huduma muhimu kama elimu, afya, barabara, maji, ....).
Hata hivyo, wananchi wanaweza kuiwajibisha serikali kwa kuiondoa madarakani (kupitia kura au njia nyingine halali), pale wanapoona haifanyi kulingana na matakwa au mategemeo yao.