Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CT yeye anatumia siku hizi????embu angalia hii video ya Amir maskini ya mungu,dauh
Sidhani kama iko hivyo Mkuu!!Hivi,hawa wooote wanaoathiriwa na sembe hawawaoni wenzio walivoathiriwa kabla yao!?
Hujaelewa,tunachosema wauzaji wa bangi ndio pia huuza unga na ili wapate wateja wa unga basi huwachanganyia unga kwenye bangi,sasa sigara inaingiaje hapo?Na walionza kuvuta bang walianza ma sigara?bas sigara zipigwe marufuku.
Si kwel..pusha wa bang hauz unga..na mara zote maskan ya ganja mteja hakai...fanya utafit halafu uje tena...but sitetei chochote sababu havina faida kwenye maisha.Hujaelewa,tunachosema wauzaji wa bangi ndio pia huuza unga na ili wapate wateja wa unga basi huwachanganyia unga kwenye bangi,sasa sigara inaingiaje hapo?
Mkuu tupo pamoja, Bora hiyo Ngesuji ya mama yeyooo.Bora niendelee kula ugoro tu,unga haufai.
Bado Diamond anayeimba wampe chaukucha asije zima!Jamaa nilikuwa namfananisha na Marcelo wa Real Madrid huyu
Wanajidanganya wenyewe,dhambi ziko juu yao wenyeweAnayewadanganya hawa watu ana dhambi sana...
Hawana nia ya dhati ya kudhibiti ,na huenda hao hao wanasiasa ndio wenye hizo biasharaDawa za kulevya sometimes sielewi kama serkali inalokusudi la kuangamiza hii kitu au kuchezeana akili. watumia unga wapo wazi ukipita wakutana nao, ila inakuwa ni ajabu ambapo awaonekanagi machoni pa vyombo vya ulinzi na usalama tu. sielewi kwanini wahusika huwa awakamatwi na kuwauliza wamezitoa wapi ili wakafuatilia cheni wakawapata wahusika.
Hii haitaisha mpaka serkali na vyombo husika vitakapokuwa na dhamira ya kweli kuangamiza hii kitu. Wachina wanajitahidi wakikudaka tu watachokufanya utajua na kujuta. ebu tuwe serious nasi maanake sio sahihi
Pole chief... walikuwa wana ku recruit hivyo.... God bless youNilikua naish mwenge hapo miaka flani nikawa naenda kununua bangi kwa pusha flani siku akanimixia na na unga sema nilikua na mungu nilivuta na sikudumu nayo muda mrefu mpka sasa sitaki kukumbuka kma nimeacha bangi
Wanafanana sana awaJamaa nilikuwa namfananisha na Marcelo wa Real Madrid huyu