Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Sasa uchawa ndo unalipa.Waligawana majukumu vizuri..Vengu yeye alikua busy na Mlema.
Tasnia ilikua safi Sana sio content za Sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa uchawa ndo unalipa.Waligawana majukumu vizuri..Vengu yeye alikua busy na Mlema.
Tasnia ilikua safi Sana sio content za Sasa.
Twabonyeza kizenjiBonyeeeeeeee
mlema au mrema?Waligawana majukumu vizuri..Vengu yeye alikua busy na Mlema.
Tasnia ilikua safi Sana sio content za Sasa.
sio mali yaoNafikri utaambuliwa kidogo huko youtube
Ila nafikri pia ni fursa kwao kuuza clips za zamani watapiga pesa sana
Haa Haa Mrema Ndiyo Sahihimlema au mrema?
Hivi hizo clip ni mali yao kweli,hiyo sio mali ya ITV!?Nafikri utaambuliwa kidogo huko youtube
Ila nafikri pia ni fursa kwao kuuza clips za zamani watapiga pesa sana
CCM iliwnunua!Kama kawaida wasanii wa kibongo baadaye wakawa machawa! Sadly
Aka venguJoseph Shamba
NdioCCM iliwnunua!
Ni mali ya mwajiri wao, ambaye wakati ule ilikuwa ni EATV company Ltd.Hivi hizo clip ni mali yao kweli,hiyo sio mali ya ITV!?
Bwana Manji aliwapeleka Tbccm ili kumkomoa mangiCCM iliwnunua!
EATIV, sio ITVHivi hizo clip ni mali yao kweli,hiyo sio mali ya ITV!?
Noma sanaView attachment 3255573
Hapa ndipo tulipopata misemo mingi sana kama ule wa kudadadeki (Nafikiri joti aliutoa katika msemo wa "kulaleki" ukikuwepo tangu 90s), umefulia, etc
miondoko ya aina yake, hapa ndipo tulipogundua wasanii walivyoiba style za wasanii wa nje then joti akawa anawa expose, mpoki kumuiga marehemu komba,
Miaka hio masanja anawadiss beki tatu na ndugu waliotembelea kusalimia nyumbani kwa watu na hawataki kurudi kwao 😂😂
HAKIKA HAWA JAMAA NI TUNU YA TAIFA
😂😂😂Wakuvanga alikuwa anamuiga marehemu Lowassa na Kikwete.
Mpoki alikuwa anamuiga marehemu Komba.
Vengu alikuwa anamuiga marehemu Mrema.
Masanja alikuwa anamuiga Mizengo Pinda.
Bila kuwasahau Joti na Mac Regan. Joti, Masanja na Mpoki ndio walikuwa wanafunika zaidi hasa Joti. Akiigiza mzee, Mtoto, Mwanamke au mpemba kote huko alikuwa anamudu.
Kila likitokea habari kubwa ya kitaifa iwe ya kimichezo au ya kisiasa wao watailezea ki-comedy zaidi.
Majina ya watu walikuwa wanayabadilisha kuweka katika hali ya kuchekesha, mfano Zito Kabwe walimwita Nyepesi Mbabe.
Clips zangu bora zaidi kutoka kwao ni video ya wimbo wa Boss wa Feruz na ile ya marehemu Lowassa anacheza wimbo wa Banjuka tu.
Ratiba yao ilikuwa ni kila alhamisi saa moja usiku EATV.
Ni kweli ikifika muda huo nchi ilikuwa inasimama kupisha jambo lao, ilikuwa ni kama mechi ya Simba na Yanga inapochezwa.