Hii ndio jamii ya Jamiiforums

Na sisi tunaowaombea salama mbona hujatutaja?[emoji18]
 
Kuna hawa wa thread za michezo chelsea man u cjui liver, af kuna kijna @rikiboi
 
Mimi nimekwazika tu uliposema kuwa jukwaa la mahusiano lina wachangiaji wengi kwa kuwa nyanja hii inamgusa kila mtu.... Huu ni ukengefu, wa upofu na upogo na ni upotoshaji wa kiwango cha juu kabisa!

Hilo jukwaa linaitwa kwa kifupi MMU, yaani mahusiano, mapenzi na urafiki lakini kiuhalisia linajikita zaidi kwenye Mapenzi na Mahusiano. Nataka nikuambie kwamba nina ushahidi wa watu kadhaa, watu wazima ambao katika maisha yao hawajawahi ama hawajihusishi kabisa katika mahusiano au mapenzi.

Lakini, unaposema kuwa hili jukwaa linamgusa kila mtu kwani siasa haimgusi kila mtu, maamuzi ya kisiasa yanapitishwa bungeni hayamgusi kila mtu? Maagizo yanayotolewa na wanasiasa hayamgusi kila mtu?
Kwani jukwaa la uchumi halimgusi kila mtu? Mfumuko wa bei ukitokea haumgusi kila mtu?

Ndugu yangu KENZY , sababu pekee inayofanya hilo jukwaa liwe na watu wengi ni kwa kuwa binadamu wengi, hasa hasa sisi ngozi nyeusi tunawaza sana mapenzi na ngono kuliko kitu kingine.

Siku nyingine unapoandika mada, jiepushe na upotoshaji.
 
Aisee! Mkuu huwezi acha jambo lipite..?😂
Sawa tufanye umeshinda.
 
Umesahau kundi la wachawi hawa ukiwasema vibaya tu lazima wakutembelee usiku kwa vitisho...

Kundi la moderators wakorofi hasa wadada ambao hawajaolewa.... hawa wao ni kupiga nyundo hovyo tu!! ban! Ban na wao hawana msamaha...wala subira....usiombe humu Jf.. ukutane na dada wa ivi.... Utakoma nakwambia...lkn hajui mie ni mwenzao hapa ofisini yaani yeye anapiga tu ban!!! Na kunisema sema hovyo!! ....huyu nyarusare huyu kazidi subiri .....ajabu sasa Tena mbele yangu...sometimes namshtukiaga ivi? Ananijua nini!! Huyuuu... Lkn nikagundua hanijui....
 
Aisee! Mkuu huwezi acha jambo lipite..?😂
Sawa tufanye umeshinda.
akiacha lipite ivi hivi!!...atakuwa hajalitendea haki jukwaa hili...uwepo wake km mwana jf ndo hiyo.....mwache amwagike jukwaani kivyovyote iwavyo...ndo maana umelileta humu...km unaona ametukana kuna utaratibu wake !! unasikia??? Saaana naona umekurupuka kumjibu...kunywa msji kwanza....
 
Wastaaarabu mpaka wanasikia maumivu mbona hamuwasemi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…