Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale ambao hamna msimamo[emoji1787]Mie sijui nipo kundi gani?
[emoji849] khaa!Upo ktk list ya wachoyo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wasanii kina Don Nalimison aka kisandu [emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wachawi wa jamiiforum.
Naomba hii sekta nisiizungumzie Sana niweke tu yule mnaemfahamu Mshana Jr [emoji23][emoji23].
Aisee! Mkuu huwezi acha jambo lipite..?😂Mimi nimekwazika tu uliposema kuwa jukwaa la mahusiano lina wachangiaji wengi kwa kuwa nyanja hii inamgusa kila mtu.... Huu ni ukengefu, wa upofu na upogo na ni upotoshaji wa kiwango cha juu kabisa!
Hilo jukwaa linaitwa kwa kifupi MMU, yaani mahusiano, mapenzi na urafiki lakini kiuhalisia linajikita zaidi kwenye Mapenzi na Mahusiano. Nataka nikuambie kwamba nina ushahidi wa watu kadhaa, watu wazima ambao katika maisha yao hawajawahi ama hawajihusishi kabisa katika mahusiano au mapenzi.
Lakini, unaposema kuwa hili jukwaa linamgusa kila mtu kwani siasa haimgusi kila mtu, maamuzi ya kisiasa yanapitishwa bungeni hayamgusi kila mtu? Maagizo yanayotolewa na wanasiasa hayamgusi kila mtu?
Kwani jukwaa la uchumi halimgusi kila mtu? Mfumuko wa bei ukitokea haumgusi kila mtu?
Ndugu yangu KENZY , sababu pekee inayofanya hilo jukwaa liwe na watu wengi ni kwa kuwa binadamu wengi, hasa hasa sisi ngozi nyeusi tunawaza sana mapenzi na ngono kuliko kitu kingine.
Siku nyingine unapoandika mada, jiepushe na upotoshaji.
akiacha lipite ivi hivi!!...atakuwa hajalitendea haki jukwaa hili...uwepo wake km mwana jf ndo hiyo.....mwache amwagike jukwaani kivyovyote iwavyo...ndo maana umelileta humu...km unaona ametukana kuna utaratibu wake !! unasikia??? Saaana naona umekurupuka kumjibu...kunywa msji kwanza....Aisee! Mkuu huwezi acha jambo lipite..?😂
Sawa tufanye umeshinda.