Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Niwasubirie mara ngapi,,,tupo nao kila siku na tunawachomoka na wengine ni wale wanafiki wa tunguli kabisa na tunachomokaOkay, basi endelea kuwasubiria wakuotee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niwasubirie mara ngapi,,,tupo nao kila siku na tunawachomoka na wengine ni wale wanafiki wa tunguli kabisa na tunachomokaOkay, basi endelea kuwasubiria wakuotee
Inategemea na mazingiraHiyo namba 3 siipendi kabisa, ukiwa karibu nami tuongee yanayotuhusu tu, hayo ya wengine sihitaji kuyasikia.
OkHII NDIO KANUNI BORA YA KIJASUSI YA KUISHI NA MNAFIKI YOYOTE DUNIANI 😊
Kijasusi jitahidi uwafahamu watu kabla ya wao kukufahamu, na hapo ndipo utagundua WANAFIKI NA WASIO WANAFIKI.
DALILI ZA MNAFIKI
1.Kwanza atajifanya mwema sana kwako
2 Atajifanya kuumia sana dhidi ya wanaokusema mabaya kumbe moyoni anafurahia
3 Atakuweka kwenye mazingira ukosee kisha akupe pole kumbe anafurahia na kukutangaza
4 Muda mwingi akiwa nawe anakupa habari za watu wengine.
FANYA HAYA UKISHAMJUA KUWA NI MNAFIKI.
1.Usimwambie kwanza kuwa umeshamjua.
2 .Hakikisha humpi habari zako ambazo zikifahamika kwingine italeta shida
3 Mtumie kama barua ya taarifa kujua watu wengine
4 Ukimaliza kumtumia kama chanzo cha taarifa anza kumkwepa taratibu.
5 .Hakikisha unafiki wake unakunufaisha kwanza ndio uonyeshe dalili za kumkwepa
#Instagram@ fikia ndoto zako
Ili uweze kutumia hiyo namba tatu inakubidi na wewe uwe mnafikiNamba 3b naitumia sana,
Sana yani.