HII NDIO KANUNI BORA YA KIJASUSI YA KUISHI NA MNAFIKI YOYOTE DUNIANI ๐Ÿ˜Š

Kuna mstari mwembamba unaotenganisha MNAFIKI NA MUUAJI haswa wale serial killers. #kataa unafiki#
 
Daaah sasa ungejua tuu unafiki uwezi jua kwa namna hiyo ndugu yangu maana hizo dalili zote mtu anaweza kufanya na akawa mwema pia maana moyo ni kichaka.

Alama za mnafiki ni tatu tu
1. Akitoa ahadi atimizi
2.husema uwongo
3 hii nimesahau
 
Ok
 
Wanafiki wanahahaga jamani ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ!

Nikishamjua mtu ni mnafiki ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Cc Smart911
 
Je na sisi tunao comment hapa sio wanafiki? Maana sisi sio malaika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ