Ufundi cherehani(kurekebisha cherehani mbovu) au ufundi nguo kwa kutumia cherehani?
Faida kubwa ya hiyo kazi kwa mwanaume endapo utakuwa nadhifu, charming basi utawakulaa wake za wenzio, wadada wa maeneo hayo na mwishowe utakuwa unawashonea nguo bure.
Fundi cherehani au fundi nguo mbona una mapepe sana
yes bishoo haswaaa
Kuna Mangi alinunua nyumba ya mil. 40 kwa kazi hio watu wakawa wanashangaa tu.
Mchana ameajiriwa kwny ofisi ya mtu mwenye jina tu hapa town ila usiku wateja wa pembeni wanamletea kazi za kushona home kwake,anapiga kazi mpk sa 10 alfajiri ndo analala.
Kwny muda wa saa 2 asubuhi yuko zake kwa boss wake anapiga kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah bila shaka alishaitwa sana freemason jamaaa..Kuna Mangi alinunua nyumba ya mil. 40 kwa kazi hio watu wakawa wanashangaa tu.
Mchana ameajiriwa kwny ofisi ya mtu mwenye jina tu hapa town ila usiku wateja wa pembeni wanamletea kazi za kushona home kwake,anapiga kazi mpk sa 10 alfajiri ndo analala.
Kwny muda wa saa 2 asubuhi yuko zake kwa boss wake anapiga kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah acha kabisaa mkuu watu hawakosagi maneno,afu ukimuona kama fala vile na pikipiki yake mdogo mdogo tu.Hahah bila shaka alishaitwa sana freemason jamaaa..
Kweli aisee mkuu,jamaa ni mpambanaji balaa.Dah hapo waweza mtafuta mchawi nani kumbe ni wewe mwenyewe tu..hongera kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo utatuweza kwa manenoo,..acha ale matunda ya mikono yake aisee,..Hahah acha kabisaa mkuu watu hawakosagi maneno,afu ukimuona kama fala vile na pikipiki yake mdogo mdogo tu.
Na ni mshkaji tu umri wake ni kwny 37 hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu wangu.Wabongo utatuweza kwa manenoo,..acha ale matunda ya mikono yake aisee,..