Hii ndio kazi ambayo uonekana haina maana lakini inafaida sana

Hii ndio kazi ambayo uonekana haina maana lakini inafaida sana

Kuna Mangi alinunua nyumba ya mil. 40 kwa kazi hio watu wakawa wanashangaa tu.

Mchana ameajiriwa kwny ofisi ya mtu mwenye jina tu hapa town ila usiku wateja wa pembeni wanamletea kazi za kushona home kwake,anapiga kazi mpk sa 10 alfajiri ndo analala.

Kwny muda wa saa 2 asubuhi yuko zake kwa boss wake anapiga kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah hapo waweza mtafuta mchawi nani kumbe ni wewe mwenyewe tu..hongera kwake
Kuna Mangi alinunua nyumba ya mil. 40 kwa kazi hio watu wakawa wanashangaa tu.

Mchana ameajiriwa kwny ofisi ya mtu mwenye jina tu hapa town ila usiku wateja wa pembeni wanamletea kazi za kushona home kwake,anapiga kazi mpk sa 10 alfajiri ndo analala.

Kwny muda wa saa 2 asubuhi yuko zake kwa boss wake anapiga kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Mangi alinunua nyumba ya mil. 40 kwa kazi hio watu wakawa wanashangaa tu.

Mchana ameajiriwa kwny ofisi ya mtu mwenye jina tu hapa town ila usiku wateja wa pembeni wanamletea kazi za kushona home kwake,anapiga kazi mpk sa 10 alfajiri ndo analala.

Kwny muda wa saa 2 asubuhi yuko zake kwa boss wake anapiga kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah bila shaka alishaitwa sana freemason jamaaa..
 
Back
Top Bottom