Cherehani mpaka iaribike ndio upate kazi hiyo hailipi..
Kila kazi ukiifanya kwa moyo, ustadi na ubunifu itakulipa.
Utengenezaji/uuzaji wa icecream(gelato&candy)hasa kwa maeneo ya joto...
Faida kubwa ya hiyo kazi kwa mwanaume endapo utakuwa nadhifu, charming basi utawakulaa wake za wenzio, wadada wa maeneo hayo na mwishowe utakuwa unawashonea nguo bure.
Utengenezaji/uuzaji wa icecream(gelato&candy)hasa kwa maeneo ya joto...
Utengenezaji/uuzaji wa icecream(gelato&candy)hasa kwa maeneo ya joto...
Kila kazi ukiifanya kwa ufanisi na kuiheshimu bila kusahau nidhamu ya hela utafika Mbali.
maisha ni kupambana kwa kila kitu ukifanyacho ambacho ni halali utatoboa tu
Mbona hujatutaja na sie wauza majeneza? Na vumbi la Kongo?Hii kazi uwezi jutia lakini wengi wetu, sana sana sisi wanaume uiona haina maana lakini ukihifanya kwa stadi na bora wa juu huweza kuingiza kipato kikubwa sana
Kazi yenyewe ni:
1. UFUNDI CHEREANI
Kama kuna zingine waweza ongezea....
Sent using Jamii Forums mobile app
Fundi cherehani kwa maana ya anayeshona nguo sio anayetengeneza, kwenye anayetengeneza hamna chochote kiukweli ila anayeshona akitulia akapambana haitachukua muda mrefu sana kuishi maisha ya mtanzania wa katiCherehani mpaka iaribike ndio upate kazi hiyo hailipi..
Si useme tu ni wewe mkuu?Hahah acha kabisaa mkuu watu hawakosagi maneno,afu ukimuona kama fala vile na pikipiki yake mdogo mdogo tu.
Na ni mshkaji tu umri wake ni kwny 37 hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fundi cherehani kwa maana ya anayeshona nguo sio anayetengeneza, kwenye anayetengeneza hamna chochote kiukweli ila anayeshona akitulia akapambana haitachukua muda mrefu sana kuishi maisha ya mtanzania wa kati
Sent using Jamii Forums mobile app
anachokitafuta atakipata tu, pesa inaingia huku akizalisha ugonjwa wa kutopumzisha mwili mda wa kutosha.Kuna Mangi alinunua nyumba ya mil. 40 kwa kazi hio watu wakawa wanashangaa tu.
Mchana ameajiriwa kwny ofisi ya mtu mwenye jina tu hapa town ila usiku wateja wa pembeni wanamletea kazi za kushona home kwake,anapiga kazi mpk sa 10 alfajiri ndo analala.
Kwny muda wa saa 2 asubuhi yuko zake kwa boss wake anapiga kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukifuata matumuzi sahihi ya lugha inawezekana hayupo sahihi ila kwa mtaani au katika jamii hilo neno ndivyo linavyotumika na ukisema fundi cherehani kwenye jamii wanakuelewa kabisa kuwa unamaanisha anayeshonaHuyo ni mshonaji muda mwingine ajue kutumia kiswahili fundi cherehani ndiye anaetengeneza ikiaribika
Bukoba