mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Wachaga sio watu wazuri wana mambo mengi sana.Kuna Mangi alinunua nyumba ya mil. 40 kwa kazi hio watu wakawa wanashangaa tu.
Mchana ameajiriwa kwny ofisi ya mtu mwenye jina tu hapa town ila usiku wateja wa pembeni wanamletea kazi za kushona home kwake,anapiga kazi mpk sa 10 alfajiri ndo analala.
Kwny muda wa saa 2 asubuhi yuko zake kwa boss wake anapiga kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachaga sio watu wazuri wana mambo mengi sana.
Wewe unamuona kazi yake ni kushona nguo tu kumbe usikute usiku ana mambo yake mengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale ni zaidi ya kukaba huwa wana viwanda feki ndani ya nyumba zao.
wiki ijayo nataka kuanza hii biashara ya barafu mashuleni. Natengeneza mwenyewe naweka flavour amazing kama chokoleti na vanilla then natafuta mabinti watano wazuri wazuri kila mmoja na shule moja ya msingi. Natarajia baada ya mwezi mmoja biashara ikiwa vizuri nitakuwa na uwezo wa kuingiza 50k kwa siku kwa maana ya kwamba kila mmoja ataniletea faida ya 10k kwa siku.Utengenezaji/uuzaji wa icecream(gelato&candy)hasa kwa maeneo ya joto...
Wow👍wiki ijayo nataka kuanza hii biashara ya barafu mashuleni. Natengeneza mwenyewe naweka flavour amazing kama chokoleti na vanilla then natafuta mabinti watano wazuri wazuri kila mmoja na shule moja ya msingi. Natarajia baada ya mwezi mmoja biashara ikiwa vizuri nitakuwa na uwezo wa kuingiza 50k kwa siku kwa maana ya kwamba kila mmoja ataniletea faida ya 10k kwa siku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwisho kuliwa Tgo kunakuhusu piaFaida kubwa ya hiyo kazi kwa mwanaume endapo utakuwa nadhifu, charming basi utawakulaa wake za wenzio, wadada wa maeneo hayo na mwishowe utakuwa unawashonea nguo bure.
anachokitafuta atakipata tu, pesa inaingia huku akizalisha ugonjwa wa kutopumzisha mwili mda wa kutosha.
tutazika na mpunga wake tunagawana tunakula maisha.
wiki ijayo nataka kuanza hii biashara ya barafu mashuleni. Natengeneza mwenyewe naweka flavour amazing kama chokoleti na vanilla then natafuta mabinti watano wazuri wazuri kila mmoja na shule moja ya msingi. Natarajia baada ya mwezi mmoja biashara ikiwa vizuri nitakuwa na uwezo wa kuingiza 50k kwa siku kwa maana ya kwamba kila mmoja ataniletea faida ya 10k kwa siku.
Sent using Jamii Forums mobile app
anachokitafuta atakipata tu, pesa inaingia huku akizalisha ugonjwa wa kutopumzisha mwili mda wa kutosha.
tutazika na mpunga wake tunagawana tunakula maisha.
Labda uzuri wake ni kushika shika manyonyo na viuno vya wanawakeHii kazi uwezi jutia lakini wengi wetu, sana sana sisi wanaume uiona haina maana lakini ukihifanya kwa stadi na bora wa juu huweza kuingiza kipato kikubwa sana
Kazi yenyewe ni:
1. UFUNDI CHEREANI
Kama kuna zingine waweza ongezea....
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ni mawazo ya kimaskini,Wachaga sio watu wazuri wana mambo mengi sana.
Wewe unamuona kazi yake ni kushona nguo tu kumbe usikute usiku ana mambo yake mengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
KABISAAAAA na haswa ukiipendaKila kazi ukiifanya kwa moyo, ustadi na ubunifu itakulipa.
Mimi sio maskini Kama unavyofikiria.Haya ni mawazo ya kimaskini,
Unapoamini mwenzio hafanikiwi kwa bidii zake inakufanya hata wewe kutokua na ari ya kumfikia kimaendeleo maana unahisi hapati kwa bidii zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Akina mo huwezi waonea wivu sababu sio level yako,Mimi sio maskini Kama unavyofikiria.
Ila nimeishi nao na nawajua vizur wala siongei kwa kumuonea wivu.
Kama ni wivu ningeanza kuwaonea wivu kina Mo dewji na Bakhresa.
Sent using Jamii Forums mobile app
fundi cherehani au Fundi nguo mkuu?
Tulia wewee mgerasiFundi cherehani au fundi nguo mbona una mapepe sana
yes bishoo haswaaa
Tulia wewee acha porojo jamvini fanya kaziDuuuuh yamekua hayo
yes bishoo haswaaa
Na Mengi usimsahau.Mimi sio maskini Kama unavyofikiria.
Ila nimeishi nao na nawajua vizur wala siongei kwa kumuonea wivu.
Kama ni wivu ningeanza kuwaonea wivu kina Mo dewji na Bakhresa.
Sent using Jamii Forums mobile app