mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Wachaga sio watu wazuri wana mambo mengi sana.Kuna Mangi alinunua nyumba ya mil. 40 kwa kazi hio watu wakawa wanashangaa tu.
Mchana ameajiriwa kwny ofisi ya mtu mwenye jina tu hapa town ila usiku wateja wa pembeni wanamletea kazi za kushona home kwake,anapiga kazi mpk sa 10 alfajiri ndo analala.
Kwny muda wa saa 2 asubuhi yuko zake kwa boss wake anapiga kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unamuona kazi yake ni kushona nguo tu kumbe usikute usiku ana mambo yake mengine.
Sent using Jamii Forums mobile app