Hii ndio kazi ambayo uonekana haina maana lakini inafaida sana

Hii ndio kazi ambayo uonekana haina maana lakini inafaida sana

Kuna Mangi alinunua nyumba ya mil. 40 kwa kazi hio watu wakawa wanashangaa tu.

Mchana ameajiriwa kwny ofisi ya mtu mwenye jina tu hapa town ila usiku wateja wa pembeni wanamletea kazi za kushona home kwake,anapiga kazi mpk sa 10 alfajiri ndo analala.

Kwny muda wa saa 2 asubuhi yuko zake kwa boss wake anapiga kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wachaga sio watu wazuri wana mambo mengi sana.
Wewe unamuona kazi yake ni kushona nguo tu kumbe usikute usiku ana mambo yake mengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utengenezaji/uuzaji wa icecream(gelato&candy)hasa kwa maeneo ya joto...
wiki ijayo nataka kuanza hii biashara ya barafu mashuleni. Natengeneza mwenyewe naweka flavour amazing kama chokoleti na vanilla then natafuta mabinti watano wazuri wazuri kila mmoja na shule moja ya msingi. Natarajia baada ya mwezi mmoja biashara ikiwa vizuri nitakuwa na uwezo wa kuingiza 50k kwa siku kwa maana ya kwamba kila mmoja ataniletea faida ya 10k kwa siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wiki ijayo nataka kuanza hii biashara ya barafu mashuleni. Natengeneza mwenyewe naweka flavour amazing kama chokoleti na vanilla then natafuta mabinti watano wazuri wazuri kila mmoja na shule moja ya msingi. Natarajia baada ya mwezi mmoja biashara ikiwa vizuri nitakuwa na uwezo wa kuingiza 50k kwa siku kwa maana ya kwamba kila mmoja ataniletea faida ya 10k kwa siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wow👍
 
Safari njema ya mafanikio.
wiki ijayo nataka kuanza hii biashara ya barafu mashuleni. Natengeneza mwenyewe naweka flavour amazing kama chokoleti na vanilla then natafuta mabinti watano wazuri wazuri kila mmoja na shule moja ya msingi. Natarajia baada ya mwezi mmoja biashara ikiwa vizuri nitakuwa na uwezo wa kuingiza 50k kwa siku kwa maana ya kwamba kila mmoja ataniletea faida ya 10k kwa siku.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa anasemaga maisha ya umaskini aliyoyapitia yanatosha,kama ni kifo alishakichungulia kitambo sidhani kama anajali sana kwa sasa.
anachokitafuta atakipata tu, pesa inaingia huku akizalisha ugonjwa wa kutopumzisha mwili mda wa kutosha.

tutazika na mpunga wake tunagawana tunakula maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kazi uwezi jutia lakini wengi wetu, sana sana sisi wanaume uiona haina maana lakini ukihifanya kwa stadi na bora wa juu huweza kuingiza kipato kikubwa sana

Kazi yenyewe ni:
1. UFUNDI CHEREANI


Kama kuna zingine waweza ongezea....



Sent using Jamii Forums mobile app
Labda uzuri wake ni kushika shika manyonyo na viuno vya wanawake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachaga sio watu wazuri wana mambo mengi sana.
Wewe unamuona kazi yake ni kushona nguo tu kumbe usikute usiku ana mambo yake mengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ni mawazo ya kimaskini,
Unapoamini mwenzio hafanikiwi kwa bidii zake inakufanya hata wewe kutokua na ari ya kumfikia kimaendeleo maana unahisi hapati kwa bidii zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ni mawazo ya kimaskini,
Unapoamini mwenzio hafanikiwi kwa bidii zake inakufanya hata wewe kutokua na ari ya kumfikia kimaendeleo maana unahisi hapati kwa bidii zake

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sio maskini Kama unavyofikiria.
Ila nimeishi nao na nawajua vizur wala siongei kwa kumuonea wivu.
Kama ni wivu ningeanza kuwaonea wivu kina Mo dewji na Bakhresa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sio maskini Kama unavyofikiria.
Ila nimeishi nao na nawajua vizur wala siongei kwa kumuonea wivu.
Kama ni wivu ningeanza kuwaonea wivu kina Mo dewji na Bakhresa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Akina mo huwezi waonea wivu sababu sio level yako,
Hizo ni imani zenu tu msioamini kuna mafanikio yatokanayo na bidii na kuheshimu matumizi,
Mimi ni mhanga wa hayo maneno yenu ya vijiweni, bahati nzuri wazazi wangu wote pamoja na familia yapo wapo hai wote.
Na hapo sina adabu na hela ningekua nayo ningekua bilionea sasa hivi ndio wangesema kabisa ni mdau wa freemason


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom