Hii ndio list ya wasanii wa bongo flavour wanaojua kujieleza kwenye interview zao

Hii ndio list ya wasanii wa bongo flavour wanaojua kujieleza kwenye interview zao

Fatilia channel moja ya dizzim online nilichogundua alikiba maswali ya umbea ajibu ovyo sana ukitaka kujia yupo vizuri tafuta channel ya sallam sk ndio utajua halafu hizi timu ndio zinaharibu kila mtu anavutia upande wake
 
Mhhhh hivi kuna msanii ambaye hawezi kujieleza kwenye Interview? Ebu tupe mfano mmoja wapo maana mie nawaona wasanii wote vichwa vimewaka maneno kama yote wakipewa mic.
If yo...if..if..if yooou if yo if..if...if..if..yoooo...yoyoyoo yooooo..youuww!!
 
HABARI MASIKU WAUNGWANA
kama kichwa kinavyojieleza hapo juu hii ndiyo list ya wasanii wanaojua kujieleza kwenye interview zao kiasi hata ukisikia anahojiwa lazima utamani kusikiliza hyo interview
1:FID Q
2[emoji815] PLATNUMZ
3:YOUNG KILLER MSODOKI
4:NIKI MBISHI
5:NAY WA MITEGO
6:NIKI WA PILI
7:NASH MC(japo anajikuta mjuaji sana
8:ALI KIBA
9😛ROFESA JAY
10:CHIDI BENZ (japo weng mtakataa ila huyu jamaa ana0ngeaga vya maana sana ukitulia na kumsikiliza vizuri)
1.Proffesor jay
 
Wasanii ambao hawajui kujieleza kwenye interview!..
Alikiba
Baraka the prince
Na tid nae akilaga kile cheupe anaongeaga pumba tuu
 
Back
Top Bottom