If yo...if..if..if yooou if yo if..if...if..if..yoooo...yoyoyoo yooooo..youuww!!Mhhhh hivi kuna msanii ambaye hawezi kujieleza kwenye Interview? Ebu tupe mfano mmoja wapo maana mie nawaona wasanii wote vichwa vimewaka maneno kama yote wakipewa mic.
kiba awez alafu mashauzi meeengi...kama madem flan ivMtoe Kiba
Hivi huyu mtu yupo? Nilimfahamu kupitia movie ya girlfriendKing Crazy GK, go and watch mkasi show
Kweli amtoe kiba jamaa anapanik mapema sana
DTC same stubborn RX were wasyule ni Dj au muimbaji
1.Proffesor jayHABARI MASIKU WAUNGWANA
kama kichwa kinavyojieleza hapo juu hii ndiyo list ya wasanii wanaojua kujieleza kwenye interview zao kiasi hata ukisikia anahojiwa lazima utamani kusikiliza hyo interview
1:FID Q
2[emoji815] PLATNUMZ
3:YOUNG KILLER MSODOKI
4:NIKI MBISHI
5:NAY WA MITEGO
6:NIKI WA PILI
7:NASH MC(japo anajikuta mjuaji sana
8:ALI KIBA
9😛ROFESA JAY
10:CHIDI BENZ (japo weng mtakataa ila huyu jamaa ana0ngeaga vya maana sana ukitulia na kumsikiliza vizuri)
Ni Zilla na GigyGodzilla ni hatari japo umemsahau