Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Najua humu jukwaani kutakuwa kuna watu ambao majumbani mwenu mtakuwa na madada wa kazi ambao huwasaidia na shughuli za nyumbani
Hivi karibuni kumekuwa na shirika ambalo limejitokeza kutetea haki za madada wa kazi Shirika linaloitwa initiative for domestic workers
Akizungumza kwenye mahojiano na Wasafi FM, Mwenyekiti wa Chama hicho amesema:
"Mfanyakazi wa ndani anayeishi na muajiri wake anatakiwa alipwe kuanzia Tsh. Elfu 60+ , yule anayeenda na na kurudi alipwe kuanzia Laki 120+ anayefanya kazi kwa viongozi mawaziri na wabunge wanatakiwa kulipwa kuanzia laki 200+ , Wanaofanya kazi kwa Wafanyabiashara wakubwa na Mabalozi wanatakiwa kulipwa kuanzia laki 250+ “
=====================
Wewe dada wako wa kazi huwa unamlipa shilingi ngapi?
Najua humu jukwaani kutakuwa kuna watu ambao majumbani mwenu mtakuwa na madada wa kazi ambao huwasaidia na shughuli za nyumbani
Hivi karibuni kumekuwa na shirika ambalo limejitokeza kutetea haki za madada wa kazi Shirika linaloitwa initiative for domestic workers
Akizungumza kwenye mahojiano na Wasafi FM, Mwenyekiti wa Chama hicho amesema:
"Mfanyakazi wa ndani anayeishi na muajiri wake anatakiwa alipwe kuanzia Tsh. Elfu 60+ , yule anayeenda na na kurudi alipwe kuanzia Laki 120+ anayefanya kazi kwa viongozi mawaziri na wabunge wanatakiwa kulipwa kuanzia laki 200+ , Wanaofanya kazi kwa Wafanyabiashara wakubwa na Mabalozi wanatakiwa kulipwa kuanzia laki 250+ “
=====================
Wewe dada wako wa kazi huwa unamlipa shilingi ngapi?