Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika

Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika

Ina maana Mbezi Beach na Goba Municipal Council hazipo? Mbona viwanja vinauzwa bei ya Prado kule
Kama Tanga vilevile viongozi walitoa amri viwanja viuzwe kwa square meter moja 1500. Watu waliuziwa kwa mara ya pili kwasababu eti hapo awali walivamia jambo ambalo sio kweli. Hapo rushwa ilitembea hadharani. Serikali imepata kidogotu
 
Maisha ni yale yale tuu, pembeni ya mgodi unakuta watu wanaangaika maji Safi na salama yanasumbua , shule watoto wanakaa chini, watu awanufaiki kwa hivi vitu, sisi waafrika tubadilike
Huu ni uzembe wa hizo halmashauri,pesa wanapeleka wapi ? au ndio kujenga mastendi na masoko yasiyo na faida kwa watu wa kawaida?
 
Inawezekana mapato mengi ya Bukoba MC ni ya TRA ndo maaana ikazidiwa na Muleba DC. Vilevile Muleba ni kubwa sana na ina eneo kubwa sana la ziwa.
Bukoba MC ni maskini sana hapo,TRA hii hapa napo hampo
 

Attachments

unatumia mapato ya serikali kujua mapato ya wananchi?

Like really?

Yaani serikali?Motherfvcken serikali?

Nigga are you serious?
Sasa unadhani Serikali inapata wapi mapato yake kama sio kutoka kwa wananchi? acha kutukana hovyo

Huu hapa mchanganuo wa TRA PAYE inaongoza kwa kuchangia pesa nyingi sasa PAYE ni za makampuni au mtu binafsi? The
 

Attachments

Nilijua mbeya baada ya kuigawa itakuwa taabani,bado iko vizuri
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 imepungua kiaina, sio kushuka kabisa. Tunduma ni mji wenye amsha amsha sana za kibiashara, unabeiba mkoa wa Songwe
 
Moshi inatia huruma na zile safari za kuhesabisa hamna kitu ,kimji cha kizamani kimechoka kama taulo la guest


Kwani tukienda kwetu tunaenda kulipa ushuru ofisi za Halmashauri?

Kule tunaenda kufanya matumizi siyo kulipa mapato.

Biashara tunafanya kwenye miji yenye mapato makubwa.
 
Hujui kitu Mwanza City ni Nyamagana ipo. Ilemela ni Municipal ipo. Sasa jumlisha ya Mwanza jiji na Ilemela halafu linganisha na ya Arusha city jibu utalipata !
Soma data hapo, tunaangalia researched and proved information sio mambo ya kubuni.

Sawa?
 
Aisee... hoping to come some days. Kila mahali paendelee bwana. Ili wivu upungue[emoji23] siyo kila mtu akiwa kiongozi aanze kusimamisha maendeleo ya sehem filan kuhamishia kungine ili ibalance. Nitakuja bestie yangu huko. Ila baridi[emoji26][emoji26][emoji26]
Eeh bwana, kama saa hizi hakufai kabisa, kuna baridi na mvua za ajabu ajabu tu japo ndiyo zinaishia. Ila yote tisa kama unataka kuwekeza kwa muda mrefu, Mufindi is the best place. Ardhi inapatikana kirahisi kwa gharama nzuri. Vibarua wapo wa kutosha tena waaminifu sana: Zao ambalo linalipa kwa muda mrefu kama una mtaji wa kutosha ni miti na parachichi.

Ukipanda parachichi ukanda huu, huwa zinazaa kipindi cha tofauti na sehemu nyingine, hivyo wakati hayapatikana kwa urahisi sehemu nyingine huku ndiyo yanaanza kutoka. Karibu sana Mkuu, naamini mambo yatakaa poa tu, Mama kasema atakuwa hatunyang'anyi pesa zetu na kutubambikizia kodi kama Marehemu alivyokuwa anafanya.

PEACE OUT ✌️ ✌️ ✌️ ✌️
 
Eeh bwana, kama saa hizi hakufai kabisa, kuna baridi na mvua za ajabu ajabu tu japo ndiyo zinaishia. Ila yote tisa kama unataka kuwekeza kwa muda mrefu, Mufindi is the best place. Ardhi inapatikana kirahisi kwa gharama nzuri. Vibarua wapo wa kutosha tena waaminifu sana: Zao ambalo linalipa kwa muda mrefu kama una mtaji wa kutosha ni miti na parachichi.

Ukipanda parachichi ukanda huu, huwa zinazaa kipindi cha tofauti na sehemu nyingine, hivyo wakati hayapatikana kwa urahisi sehemu nyingine huku ndiyo yanaanza kutoka. Karibu sana Mkuu, naamini mambo yatakaa poa tu, Mama kasema atakuwa hatunyang'anyi pesa zetu na kutubambikizia kodi kama Marehemu alivyokuwa anafanya.

PEACE OUT [emoji3577] [emoji3577] [emoji3577] [emoji3577]
Naona mnakomaa tuu na Mufindi mnasahau Kilolo huko inakopakana na Mkoa wa Morogoro nako mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] hali ya hewa ni nzuri,udongo fertile na mvua za kuzidi.

Njombe nako hususani Wilaya ya Njombe na Makete,tatizo ilikuwa ni barabara but kwa ujenzi unaoendelea pande zote yaani njia ya Mbeya na njia ya Morogoro inafungua fursa Sana na mambo ni fire [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom