Hii ndio orodha ya wasanii, maproducer, watangazaji wababe kwenye Bongo Flava, kichapo nje nje!!

Hii ndio orodha ya wasanii, maproducer, watangazaji wababe kwenye Bongo Flava, kichapo nje nje!!

Kwa Zola D nakubali,jamaa ana mwili kama dume la nyati
Bila Zola D listi ni batili
Kama unasema listi ya uhuni ma*v muweke fido vato
Zola D hakupata jina kwenye muziki kiivyo, kiufupi ni celebrity wa kwenye fitness zaidi kuliko muziki

tukianza kutaja kila mwanamziki, hata Twaha Kiduku anaimba

1692281007858.png
 
Zola D hakupata jina kwenye muziki kiivyo, kiufupi ni celebrity wa kwenye fitness zaidi kuliko muziki

tukianza kutaja kila mwanamziki hata, kina Twaha Kiduku wanaimba pia
Wewe Zola D umemjua kwenye fitness au mziki?
Na Twaha umemjua kwenye Boxing au mziki?
 
Binafsi napenda kusikiliza interviews za Chid Benz,anawapa majibu mazuri sana waandishi uchwara wa Bongo.......maana hawajui namna ya kuuliza maswali.........
Binafsi napenda kusikiliza interviews za Chid Benz,anawapa majibu mazuri sana waandishi uchwara wa Bongo.......maana hawajui namna ya kuuliza maswali.........

Mtangazaji: Nani kakuvalisha usiku wa leo
Chid : Nimevaa mwenyewe ebo!

Mtangazaji.: Kwahiyo tutegemee Rashid kuingia kwenye amapiano?
Chid : Rashid ndio nani?
Mtangazaji. :Chid Benz
Chid : aah kumbe ni mimi
 
Wewe Zola D umemjua kwenye fitness au mziki?
Na Twaha umemjua kwenye Boxing au mziki?
Ishu ni kwamba Zola D kwenye mziki hakuweza kuwa na impact kama ilivyo kwenye mazoezi ambayo kayamudu kisawasawa.

Ndio maana akahamia huko kwenye mazoezi.
 
Mtangazaji: Nani kakuvalisha usiku wa leo
Chid : Nimevaa mwenyewe ebo!

Mtangazaji.: Kwahiyo tutegemee Rashid kuingia kwenye amapiano?
Chid : Rashid ndio nani?
Mtangazaji. :Chid Benz
Chid : aah kumbe ni mimi

Yule Chid Benz sijui bhangi yake ya wapi anavuta?? Sio hii tunaovuta hadi dada zake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtangazaji: Nani kakuvalisha usiku wa leo
Chid : Nimevaa mwenyewe ebo!

Mtangazaji.: Kwahiyo tutegemee Rashid kuingia kwenye amapiano?
Chid : Rashid ndio nani?
Mtangazaji. :Chid Benz
Chid : aah kumbe ni mimi
Namkubali sana Chid Benz anawachangamsha ubongo waandishi wetu
 
Nmefanya naye sana mazoezi yuko vzr...kiuhalisia
Pina mikwala tu anategemea makundi alikuwa na hakuna mtu muoga kama mdogo wangu pina

Ova
Si ndo huyu jamaa wa "Tizi Kiduchu", kama ndo yeye jamaa yuko fit sana, ana workout za hatari sio kama za hawa wanywa protein powder
 
Lord huyu aliyekuwa mraibu? Huyu ambaye siku moja alikiri kuingia cha kike maeneo ya Mwananyamala? Akakutana na sura ambazo hazijatokea barabarani mwezi hivi. Mwenyewe akawa anajichekesha pale na akaanza kugawa bukubuku?
 
Kaka hatuna sanaa ya mapigano inaitwa bujuruu hiyo ni Goju- Ryu ni moja ya style za karate.
 
Back
Top Bottom