wailer hov
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 286
- 409
Kabla ya mbanga Lord Eyez alikuwa fit sana amini juu hadi chini..basi tu maisha na nyakati zinapita 2008 hukoLord huyu aliyekuwa mraibu? Huyu ambaye siku moja alikiri kuingia cha kike maeneo ya Mwananyamala? Akakutana na sura ambazo hazijatokea barabarani mwezi hivi. Mwenyewe akawa anajichekesha pale na akaanza kugawa bukubuku?