aliulizwa nani kakuvalisha akajibu nimevaa mwenyewe 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀Binafsi napenda kusikiliza interviews za Chid Benz,anawapa majibu mazuri sana waandishi uchwara wa Bongo.......maana hawajui namna ya kuuliza maswali.........
Hiyo clip niliiona pia😀😀aliulizwa nani kakuvalisha akajibu nimevaa mwenyewe 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Kwa Zola D nakubali,jamaa ana mwili kama dume la nyatiWote mna ruka ruka humu
Anayejua kupiga ngumi na yuko
Fit ni zola d tu
Wengine wote wepesi
Sasa pina si anategemea makundi tu
Ova
Nmefanya naye sana mazoezi yuko vzr...kiuhalisiaKwa Zola D nakubali,jamaa ana mwili kama dume la nyati
Issa michuzi ana black belt huyo mwamba alafu ni mtu wa system huyo mzee babaNje na hao wasanii uliowataja , kuna huyu Gabo Zigamba jamaa ni habari nyingine .
Kuna huyu Issa Michuzi hajapoa naye.
Kwa Zola D nakubali,jamaa ana mwili kama dume la nyati
Zola D hakupata jina kwenye muziki kiivyo, kiufupi ni celebrity wa kwenye fitness zaidi kuliko muzikiBila Zola D listi ni batili
Kama unasema listi ya uhuni ma*v muweke fido vato
Wewe Zola D umemjua kwenye fitness au mziki?Zola D hakupata jina kwenye muziki kiivyo, kiufupi ni celebrity wa kwenye fitness zaidi kuliko muziki
tukianza kutaja kila mwanamziki hata, kina Twaha Kiduku wanaimba pia
Binafsi napenda kusikiliza interviews za Chid Benz,anawapa majibu mazuri sana waandishi uchwara wa Bongo.......maana hawajui namna ya kuuliza maswali.........
Binafsi napenda kusikiliza interviews za Chid Benz,anawapa majibu mazuri sana waandishi uchwara wa Bongo.......maana hawajui namna ya kuuliza maswali.........
Ishu ni kwamba Zola D kwenye mziki hakuweza kuwa na impact kama ilivyo kwenye mazoezi ambayo kayamudu kisawasawa.Wewe Zola D umemjua kwenye fitness au mziki?
Na Twaha umemjua kwenye Boxing au mziki?
Uzi umeingiliwaKwenye hiyo list muongeze Juma Jux japo sio mgomvi ila anapiga sana ngumi.
Mtangazaji: Nani kakuvalisha usiku wa leo
Chid : Nimevaa mwenyewe ebo!
Mtangazaji.: Kwahiyo tutegemee Rashid kuingia kwenye amapiano?
Chid : Rashid ndio nani?
Mtangazaji. :Chid Benz
Chid : aah kumbe ni mimi
Ubabe ni pesa tu sio ?Hao jamaa siku hizi wote mijusi tu hamna kitu
Namkubali sana Chid Benz anawachangamsha ubongo waandishi wetuMtangazaji: Nani kakuvalisha usiku wa leo
Chid : Nimevaa mwenyewe ebo!
Mtangazaji.: Kwahiyo tutegemee Rashid kuingia kwenye amapiano?
Chid : Rashid ndio nani?
Mtangazaji. :Chid Benz
Chid : aah kumbe ni mimi
Si ndo huyu jamaa wa "Tizi Kiduchu", kama ndo yeye jamaa yuko fit sana, ana workout za hatari sio kama za hawa wanywa protein powderNmefanya naye sana mazoezi yuko vzr...kiuhalisia
Pina mikwala tu anategemea makundi alikuwa na hakuna mtu muoga kama mdogo wangu pina
Ova
Tena Zola ni balaa kwakweli.Wote mna ruka ruka humu
Anayejua kupiga ngumi na yuko
Fit ni zola d tu
Wengine wote wepesi
Sasa pina si anategemea makundi tu
Ova