Lord huyu aliyekuwa mraibu? Huyu ambaye siku moja alikiri kuingia cha kike maeneo ya Mwananyamala? Akakutana na sura ambazo hazijatokea barabarani mwezi hivi. Mwenyewe akawa anajichekesha pale na akaanza kugawa bukubuku?
..Mimi mbona sipo kwenye list, muulizeni zola d na dudu baya nlichowafanya walipochana mistari ya kiwaki kwenye ngoma yangu, nkaifuta hata sikutaka tena iskike hewani.