Sio mbovu,ila haifanani na ubora wa simba ambayo mnataka kuona itafungwa kirahisi.Kumbe kuna timu mbovu zinazoingia hatus ya makundi?
Kundi lenyewe lilikuwa na timu nyepesi Sana. Sioni sababu ya kuwakuza kiasi hicho.Orlando [2 - 0] JS Soura
Ittihad Tripoli [3 - 2] Orlando
Royal Leopard [2-6] Orlando
Orlando [3- 0] Royal Leopards
Js Soura [0-2] Orlando
Orlando [0- 0] Ittihad Tripoli
Jumla kafunga 15 kafungwa 5.
Kaifunga Royal Leopards goli 9 jumla. Akafungwa na huyo 2.
Mechi nne zilizobaki kawafunga wenzie 6 kafungwa 3.
Katika kundi lao amefungwa na Ittihad Tripoli ugenini wakatoka droo nyumbani.
Umemsahau praymidHizo rekodi za kupigwa nje ndani anazo utopolo. Simba hajawahi Kufa kibudu namna hiyo kama utopolo. Ukimpiga kwako , kwake lazima akupe za uso. Ukimpiga kwakwe kwako anakupa za uso.
Ila kwa utopolo hilo linawezekana.
Rivers utd vs utopolo , nje ndani.
Al Masry vs utopolo , nje ndani.
Rayon sport vs utopolo , nje ndani
Waliondika hiyo record ni CAF wenyewe kama walivyokuwa wana post kuisifia Simba/ mchezaji wa Simba ndivyo wanavyofanya kutoa taaarifa au takwimu au data kwa timu zingine. Ni kawaida kwa ukurasa wa CAFKundi lenyewe lilikuwa na timu nyepesi Sana. Sioni sababu ya kuwakuza kiasi hicho.
Neno dhaifu inatofauti gani ubovu? Ukiachana na kutegemea kwa Mkapa, Simba ina ubora upi huo?Sio mbovu,ila haifanani na ubora wa simba ambayo mnataka kuona itafungwa kirahisi.
Ni sawa na Pamba kucheza robo fainali ya azam sports. Haimfanyi kuwa timu kubwa,bali imekuwa bora katika mashindano haya.
Jamvi la wageni fc katika ubora wenu hilo tumbo lako ni la hedhi ww jiandae2 kuvaa pediRekodi hii imenitisha, mpaka utumbo umecheza kwa zile beki zile ambazo hazijui kuruka mipira ya krosi kuna maafa makubwa sana. Naiona balaa kubwa sana, yajayo hayafurahishi
View attachment 2183868
Unaumwa na mavi wewe so bure wewe unazani Simba nisawa na hiyo utopolo aliyepigwa nje ndani pamoja na kuwasingizia korona,Kwa rekodi hizi, naona kuna dalili ya kupigwa nje ndani.
Walichokufanya mabingwa wako upya 2021 - 2021(YANGA) kwenye ngao ya hisani huwezi kuacha kuweweseka kwa kuwataja taja kila siku hadi uwe chakula cha funza [emoji28]Mwanaume hupaswi kuwa mwoga kiasi hicho. Ipo siku utakimbia kivuli chako japo sijaju wewe ni demu au mwanaume. Na tabia hii ndiyo inayowafanya utopolo kila mwaka kuishia hatua za awali.
Kwani MAKOLOKOLO wana ubora gani zaidi ya fitina za kwa mkapa tu kuruhusu manyau nyau kupita kabla ya mechi ndipo ishinde [emoji848][emoji1787]Kumbe kuna timu mbovu zinazoingia hatus ya makundi?
Corona ilikuwa hoja ya Simba kwa timu alizokutana nazo msimu uliopita.Unaumwa na mavi wewe so bure wewe unazani Simba nisawa na hiyo utopolo aliyepigwa nje ndani pamoja na kuwasingizia korona,
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
kundi lake lilikuw bovuOrlando [2 - 0] JS Soura
Ittihad Tripoli [3 - 2] Orlando
Royal Leopard [2-6] Orlando
Orlando [3- 0] Royal Leopards
Js Soura [0-2] Orlando
Orlando [0- 0] Ittihad Tripoli
Jumla kafunga 15 kafungwa 5.
Kaifunga Royal Leopards goli 9 jumla. Akafungwa na huyo 2.
Mechi nne zilizobaki kawafunga wenzie 6 kafungwa 3.
Katika kundi lao amefungwa na Ittihad Tripoli ugenini wakatoka droo nyumbani.
Ndiyo... timu bora na dhaifu zinachanganywa ktk kila kundi. Ila kama unavyojua timu mbovu na dhaifu zaidi kama Utopolo hazifiki huko.Kumbe kuna timu mbovu zinazoingia hatus ya makundi?
OkWaliondika hiyo record ni CAF wenyewe kama walivyokuwa wana post kuisifia Simba/ mchezaji wa Simba ndivyo wanavyofanya kutoa taaarifa au takwimu au data kwa timu zingine. Ni kawaida kwa ukurasa wa CAF
Unaikumbuka Libobo miaka Ile?Hizo rekodi za kupigwa nje ndani anazo utopolo. Simba hajawahi Kufa kibudu namna hiyo kama utopolo. Ukimpiga kwako , kwake lazima akupe za uso. Ukimpiga kwakwe kwako anakupa za uso.
Ila kwa utopolo hilo linawezekana.
Rivers utd vs utopolo , nje ndani.
Al Masry vs utopolo , nje ndani.
Rayon sport vs utopolo , nje ndani
Itoshe tu kusema kuwa , historia ya kupigwa nje ndani inaibeba zaidi Yanga ikilinganishwa na watani zao simbaUnaikumbuka Libobo miaka Ile?
Libobo 4 Simba 0
Simba 0 Libobo 1
uzi tayariRekodi hii imenitisha, mpaka utumbo umecheza kwa zile beki zile ambazo hazijui kuruka mipira ya krosi kuna maafa makubwa sana. Naiona balaa kubwa sana, yajayo hayafurahishi
View attachment 2183868