Hii ndio sababu kubwa kwanini dunia nzima kuna upungufu mkubwa wa matangazo ya ajira

Hii ndio sababu kubwa kwanini dunia nzima kuna upungufu mkubwa wa matangazo ya ajira

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Kwa sababu siku hizi kuna fursa nyingi za watu kupata pesa bila kuajiriwa kuliko kipindi chochote tangu dunia iwepo.

Makampuni mengi hayana sababu kufanya kila kitu yenyewe wakati kuna watu wengi tu wako majumbani wanaweza kuwafanyia hizo kazi bila kujibebesha mizigo ya Bima za afya, kodi, kero za wafanyakazi, mafao etc.

Kwa sababu vitu vingi vimehamia online na pia shughuli nyingi zinafanywa na mamilioni ya watu binafsi ambao sio waajiriwa wa sehemu husika.

Makampuni mengi hayafikirii kuongeza watu, yanafikiria kuna mfumo gani ambao nikiuweka utatatua changamoto zetu kwa haraka huku tukibaki na watu wachache wenye softskills za kufanya mambo yaende.

Kazi kwako, kuchagua kutafuta huko wenzako ambao hawaajiriwa wanafanya nini kati ya mamillioni ya fursa duniani.


Ni hayo tu.
Source; Matunduizi.
 
Tuliwaambia watu tokea 2010 ila wakawa wabishi hi miaka bila kuinvest online watoto wako watakuja kukucheka, yani inabidi mtoto akiwa na miaka 10 hadi 12 aruhusiwe kumiliki smartphone +pc ambayo ipo chini ya ya uangalizi makini wa mzazi kuhakikisha anapata vitu muhimu mapema
 
Tuliwaambia watu tokea 2010 ila wakawa wabishi hi miaka bila kuinvest online watoto wako watakuja kukucheka, yani inabidi mtoto akiwa na miaka 10 hadi 12 aruhusiwe kumiliki smartphone +pc ambayo ipo chini ya ya uangalizi makini wa mzazi kuhakikisha anapata vitu muhimu
Ni kweli
 
Back
Top Bottom