LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Nimekutana na ujumbe huu instagram na kila mtu Anasema unamgusa.
" Ukweli ni kwamba familia nyingi zimeparaganyika SASA hivi kwa sababu walio kuwa wanaziunganisha( wazazi) wamekwisha tangulia mbele za haki"
Wazazi wetu waliweza vipi kuunganisha familia hata sisi wa kizazi huko tushindwe?
Mohamed Said
Nguruvi3
Kiranga
Mshana Jr
digba sowey
" Ukweli ni kwamba familia nyingi zimeparaganyika SASA hivi kwa sababu walio kuwa wanaziunganisha( wazazi) wamekwisha tangulia mbele za haki"
Wazazi wetu waliweza vipi kuunganisha familia hata sisi wa kizazi huko tushindwe?
Mohamed Said
Nguruvi3
Kiranga
Mshana Jr
digba sowey