[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona kama kuna ukweli asilimia kubwa
Vipi magufuli na trump wanakosa kweli hilo kundi la 2, maana kama wa kwetu "(jpm) anahesabu mpaka dagaa ziwani
Huo Si ndio utapeli wenyewe!! Au
hahaaaNakuona humble African aka spiritual
Salute Mzee unajua sana kuandika utafikiri una vinasaba vya Shabani Robert
But heck....Ontario ni tapeli la kiwango cha uzamivu,
Na mbali na Maneno matamu fake pia anajua kucheza na mass psychology hasa kale ka formula ka divide and rule
daahh "" huyo MZee alikuwa magumashi sana...aisee alimtapeli matofali mpka MZee chongaHata Batenga alikua intelligent sana mpaka kumuingiza mjini Nyerere
aiiseee usinisahau pia""Ahahaha! Ndio maana hata huu Uzi haunogi kumbe tulisahau kukutag dokta dokta manyaunyau.
Inashangaza watu wanaendesha Uzi wa kipuuzi then nyuzi elimishi kama hizi wanazigwaya.
hahaaa jf bhanaNaona kama kuna ukweli asilimia kubwa
Vipi magufuli na trump wanakosa kweli hilo kundi la 2, maana kama wa kwetu "(jpm) anahesabu mpaka dagaa ziwani
Huo Si ndio utapeli wenyewe!! Au
Naomba kuongezea kakitu ambako nilikasoma mahali na mimi nipate maarifa zaidi
Kuna maswali mawili naomba mnisaidie
1. Genius ni lazima iwe ni kitu ya kuzaliwa nacho au unaweza kukiinfluence kikakufanya uwe genius?
2. Genious ni lazima ujue kila kitu au unaweza kuwa specialized katika kitu flani? mfano mpira,siasa,nk
MEANING OF THE TERM GENIUS
GENIUS:-Is an exceptional natural capacity of intellect, especially as shown in creative and original work in science, art, music, workplace, field of study.
Is a person having an extraordinarily high intelligence, strong inclination, distinctive character, or spirit
An attendant spirit of a person or place; a person who influences another for good or bad.
Very great and rare natural ability or skill (s) specialized in a particular field
Is a person who displays exceptional intellectual ability, creative productivity, and universality in genres or originality, typically to a degree that is associated with the achievement of new advances in a domain of knowledge.
HOW TO BECOME A GENIUS PERSON
1. Don’t expect a super brain.
2. Find your passion.
3. Train daily
4. Surround yourself with the best
5. Get curious about life
6. Do more, Read Less
7. Commit To it
8. Get your sleep.
9. Be open to Opportunities.
Ahahaha!! Ntake radhi kwanza kaka. Umeniadhiri ujue.Kaka unafit kwenye intelligence people bila shaka na wewe ni tapeli mzuriii kupata kutokea..
Ndio genius walivyo..wasipopata one wanataga yai tu. Maana their brain is unique and complex.Katika maisha yangu nimemuona genius mmoja,anaitwa Loi.Form six alipata 0.Lakini kila mtu anaemjua anasema the guy is the genius!!
Kaka unazidi kunihaadaa nisiamini ukweli kuhusu weweAhahaha!! Ntake radhi kwanza kaka. Umeniadhiri ujue.
Mimi nipo kwenye kundi la normal people.
Ahahaha!! Umenitafutia kundi langu kwa nguvu.Kaka unazidi kunihaadaa nisiamini ukweli kuhusu wewe
Hivi unafahamu hata kama ungeandika uongo watu wangeamini kutokana na ushawishi wako
umetumia lugha sahihi na nyepesi kuweza kueleweka kimsingi umepanga hoja kimkakati tuweze kukuelewa kwa wepesi zaidiAhahaha!! Umenitafutia kundi langu kwa nguvu.
Sijui kwako mkuu ushawishi unautafsiri vipi?
Eti "kimkakati" Ahahaha hili neno huwa linasound kitapeli sana mkuu. Kuanzie Kwenye politics hadi business.umetumia lugha sahihi na nyepesi kuweza kueleweka kimsingi umepanga hoja kimkakati tuweze kukuelewa kwa wepesi zaidi
Nyerere ilibidi acheke tu na kusema muacheni huyo muhaya.daahh "" huyo MZee alikuwa magumashi sana...aisee alimtapeli matofali mpka MZee chonga