Hii ndio sababu Magenius hawawezi kuwa matapeli

Hii ndio sababu Magenius hawawezi kuwa matapeli

Leta stor yaki japo kidog mkuu kam unaifaham
Jamaa alienda kwa Nyerere akamkuta Nyerere anafyatua matofali kibao, akawa anapiga naye story huku ananyoosha mikono kwenye matofali.

Kesho yake Nyerere akasafiri, jamaa akaja na malori, akaanza kusomba matofali, alipoulizwa akawa mkali, nyie hamkuniona nakubaliana na mzee jana hapa?

Walinzi wa Nyerere wakaogopa kuuliza, Nyerere akazidiwa na kazi, kuja kushtuka kaibiwa matofali kibao hakuwa hata na muda wa kufuatilia.
 
Katika aya ya kwanza nadhani kuna tofauti mimi niliwahi mno kuongea
Niko very sensitive
Nikikaa nje halafu mtu anataka kuniita namfikia kabla hajanyanyua mdomo
Kwenye kupika nako hivyo hivyo nikiunguza labda nina stress sana.

Kuna vitu vingi mno hata nikiwa kwenye biashara naweza mpoint mtu nikamwangalia mpaka akanunua bidhaa namna nilivyotarajia

Nina sense vitu vingi vya baadae
Naongea kidogo nikiwa najisikia naongea sana

Mwanangu sasa yeye haongei kabisa, ila baba yake akiwa njiani anakwambia naenda kumpokea baba na hapo sijamwambia na pengine sijui
Mara atakwambia mvua hiyo mkikaa dakika kadhaa mvua inanyesha
Na mambo yake mengi mengi
Ameanza kuongea mdogo sana ila anaongea kwa nadra sana
 
I'm introvert
na nipo group la kwanza yani sifa zote ulizoandika ni kama unanizungumzia Mimi ,napenda sana hesabu nimeanza kuipenda tangu shule ya msingi hadi sasa nipo chuo na ndo somo ambalo nimefahuru kuliko mengine na natamani ningekuwa nasoma hesabu tu,pia unavyomzungumia Albert Einstein's kuhusu kumudu hesabu kuliko masomo mengine kipindi Yupo chuo ni kama Mimi tu nilivyo,
pia napenda sana kujifunza vitu vipya vyipa muda wote kupita kusoma yani najikuta nasoma kila aina ya takataka sijali inahusu business, gambling,science,
pia napenda sana kusikiliza music ,kucheck movies sipendi,napenda muda mwingi kukaa peke yangu,pia muda wote nafikiria sana vitu vingi vingi ,
wakati nipo semester ya kwanza nilijishangaa sana ,na pia wanafunzi wenzangu walishangaa sana baada ya kupata 100% business mathematics

Una pdf ya kitabu ulichoweka kwa avatar yako?
 
Umesahau kundi lingine la 'vichaa kabisa'
Sio kila kichaa ni genius
 
Umesahau mental retarded people hawa wako chini ya normal people. Less than 70 IQ
 
Umesahau mental retarded people hawa wako chini ya normal people. Less than 70 IQ
 
Katika aya ya kwanza nadhani kuna tofauti mimi niliwahi mno kuongea
Niko very sensitive
Nikikaa nje halafu mtu anataka kuniita namfikia kabla hajanyanyua mdomo
Kwenye kupika nako hivyo hivyo nikiunguza labda nina stress sana.

Kuna vitu vingi mno hata nikiwa kwenye biashara naweza mpoint mtu nikamwangalia mpaka akanunua bidhaa namna nilivyotarajia

Nina sense vitu vingi vya baadae
Naongea kidogo nikiwa najisikia naongea sana

Mwanangu sasa yeye haongei kabisa, ila baba yake akiwa njiani anakwambia naenda kumpokea baba na hapo sijamwambia na pengine sijui
Mara atakwambia mvua hiyo mkikaa dakika kadhaa mvua inanyesha
Na mambo yake mengi mengi
Ameanza kuongea mdogo sana ila anaongea kwa nadra sana



Duh utapata hasara kweli.
 
hahaaa. Jamaa alikua na upekee gani?
Jamaa is simply a genius,wewe lete mada yoyote,iwe ya kisiasa-rais wa nchi yoyote duniani,historia zao,historia ya nchi zao,nk,sayansi-viumbe vya baharini,nchi kavu,sayansi,uchumi,michezo-soka,boxing,rugby,wrestling,movie-sema movie yoyote anaweza kukutajia wahusika majina yaohalisi,asili yao wanakotoka,historia zao,kila kitu atakupa reference ya hicho kitu kwa kukot kwenye kitabu au source yoyote mwaka,eneo,wahusika,neno kwa neno.Yaani ukibishana nae unaumbuka..Incredible memories!!Yaan hata alivyofeli kila mtu aliendelea kumheshimu genius.Unaweza kuta anatembea anacheka mwenyewe kwa material yanavyotiririka kichwani.Acha kabisa
 
Concept ya kwamba magenius wengi wanakipaji cha kuchora, kutokana kwamba wanauwezo mkubwa wa kukariri vitu ni kweli, nimewahi kukutana na Hawa watu wanachora kwelikweli,Rest in peace my classmate Godfrey
 
Hao wa juu pia huwa domo zege
Yes because most of the time wanapenda kuishi wenyewe alaf ni ngumu sana wao kusihi na ma gf au kuwa na wake. Mind zao zina calculate masaa 24/7 ndio maana hawana muda na vitu kama ngono, kutembelea watu.. wako tofauti sana.

Sio kwamba wanashindwa kutongoza, ila hawana interest na relationships. Kwao relationship ni upotevu wa muda.
 
Bipolar disorder inanisumbua I wish one day uje na solution may b unaweza saidia na wengine
Bipolar disorder haina dawa, ila kuna methods za ku suppress hiyo hali au method za ku control hiyo hali ili isi dhuru maeneo mengine ya maisha yako.
 
Back
Top Bottom