Hii ndio sababu Magenius hawawezi kuwa matapeli

ndeefu lakini tamuu.
 
Ubongo wenye ugonjwa na ule mzima usioumwa ni upi una afya na wenye kufanya kazi vizuri?
 
Mtu yeyote mwenye uwezo wa kuchora, anakua na akili sana.
Pia kundi la Intelligents, wanapenda ni hatari kwa nkupiga kazi (sijui kwa wanawake, hapa narejea wanaume). Majinias wenyewe hawana muda na hayo mambo.
 

Hii ya Kanye West iko subjective kwasababu inaondoa ukweli kuwa umaarufu pekee huufanya mwimbo kuwa bora. Wafuasi wa Kanye watatafuta visababu lukuki ili waupende mwimbo wake hata kama si mzuri.
 
Hii ya Kanyewest in very subjective kwasababu inaondoa ukweli kuwa umaarufu pekee hufanya mwimbo kuwa bora.
Achana na hiyo ya wimbo though kuna hundred of artist wamejaribu kufanya kama anachofanya kanye na hizo old songs but they have failed miserably.

Kuna vitu kibao anaongea inaonyesha kabisa the muhufuka is living our future.

Kuna professor mmoja amemfanya kama case study anamsoma kanye tu practically.
 

Ni kweli unavielemea vya akili nyingi na hiyo kupenda kusoma na kufikiri ni asset kubwa sana katika dunia ya sasa.

Siku hizi processing and interpreting data ni tatizo kubwa sana duniani, kuna data lukuki lakini watu wanaoweza kuzielezea na kuzitumia ipasavyo ni wachache sana.

Watu kama nyinyi ndiyo mtahitajika sana huko mbeleni na hasa kama unajua ku code algorithms (unaweza fika mbali sana). Na weza ku suggest usome kitabu kinaitwa "Automate this" cha Christopher Steine kinaelezea jinsi algorithms zinavyoendesha dunia hii ya sasa.
 
Sawa mkuu, lakini uzuri ni kwamba, ukikutana na mmoja kwenye eneo lake haitachukua muda kumtambua.

True that.

But are those so called geniuses know it all or?

Manake unaweza kukuta mtu anaitwa genius kisa tu anajua ku solve math problems lakini hajui hata kupigilia msumari kwenye mbao za kitanda!

It’s far more complicated.
 

kushindwa kumuelewa mtu hakumfanyi muhusika kuwa kichaa. Hivi mtu akihoji kuwa psychiatry hana chembe ya uwezo kiakili kumkaribia huyo genius ndiyo maana hamuelewi, utamjibuje?

atawezaje kukushawishi uingie mkenge!? Jibu ni hawezi kukutapeli maana hata hawana good socializing ability kama wengine. lakini hapa sasa ndipo linapoibuka kundi la watu wengine wanaitwa "intelligent people" watu hatari sana hawa.

Humble African said:
Kwa hiyo genius ni wehu hawana ufundi wa kutapeli kama intelligent wao ni naturally matapeli...professional zao ni siasa au conmen.

Usijali..utaelewa taratibu tu.

Hivi kushindwa kutapeli watu ni wehu?

kama mtu haoni umuhimu wa kutapeli wengine kwasababu anaona kufanya hivyo ni kutokuitendea haki akili yake, kwa kuwa yeye anajali zaidi kuitumia kutatua mambo makubwa zaidi kwa jamii, huoni kuwa hapa kuna utofauti wa kimtazamo zaidi ya uchizi?
 
Ni vitu gani anavyoongea Kanye ambavyo mwenzetu unaviona vina akili?
 
True that.

But are those so called geniuses know it all or?

Manake unaweza kukuta mtu anaitwa genius kisa tu anajua ku solve math problems lakini hajui hata kupigilia msumari kwenye mbao za kitanda!

It’s far more complicated.

Kwanza, nakubaliana na wewe kwamba kimsingi, kwamba tunaouita u genius ni mada pana sana na hapa tumeigusa kwa juu juu kutoa mwanga kwa mujibu wa mleta mada.

Tukirejea alichoandika Humble African , ametolea mfano walioitwa magenius wachache kwamba walijikita kwenye eneo moja. Mwingine Physics, wengine Chemistry au mahesabu. Hawa hawakuishia kuelewa au kukokotoa mahesabu tu bali walienda mbali zaidi kwa kugundua namna hayo masomo yanavyoweza kutusaidia kwenye maisha ya kawaida. Sasa kwa wale ambao ni wazuri kwenye somo kwa maana ya kukokotoa au kuelewa na kumudu somo moja bila kwenda mbali zaidi namna ya kuutumia huo uwezo nao tuwaite magenius?

Hapohapo linaibuka duala la vipaji, kuna watu wanacheza mpira hatari, au wanaimba kuliko mfano, au wanakumbukumbu isiyo kawaida na wengine wachoraji wa kutisha, hao nao ni ma genius kwenye maeneo yao?

Sijaelewa pia unaposema hawawezi KUTAPELI, kwanza itafsiriwe maana ya utapeli. Kuna yule mfaransa kama sikosei aliitwa Carlos tukapata habari zake nyingi sana za uhalifu. Huyo tunamuweka wapi? Nnachofahamu michongo na mikakati mingi iwe ya utapeli au yenye tija inahitaji kiwango cha juu sana cha akili.

Mwisho, ni utahira au ukichaa kiasi gani unahisishwa na hao wanaoitwa ma genius?
Na je, inawezekana tunaowaona vichaa wakawa na chembechembe zozote za u genius (nafikiri kuna haja ya utafiti kufanyika).

Kwa muktadha huo, huu ni mjadala mpana japo hii post imetupa mwanga.

Shukrani mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…