3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Hakikisha hayakai sana mkuu maana yanayofaa kutotoleshwa yanatakiwa yasizidi siku 7 toka kutagwa yakizidi kuna uwalakini wa kugeuka kuwa kukuWakuu mwenye kutoa huduma ya kutotolesha (incubator) makao makuu tuwasiliane, ninakusanya idadi nzuri ya mayai ya kienyeji nataka niyageuze kuwa kuku...
Oh wakwanza amejiletaNaomba nikupe namba yangu pm tuwasiliane mkuu
Safari za huko magereza za nini? MichepukoUkirudi mjini ntakupa kasichana kamoja Ila sijui kuangalia mwanamke na mwanamme..au la ntaenda magereza maana huwa nna Safari Sana za huko nitaulizia
Yes!Safari za huko magereza za nini? Michepuko
Maskini mie nimekukosaYes!
Behave pls😏Maskini mie nimekukosa
Vipi dagaaa chenga unauza je? Suala sio idadi ya kuku, huo ulikuwa mwanzo na mpaka sasa nimefikisha kuku 20 pia naendelea kununuaKuna taarifa nyingi za upotoshaji juu ya kuku wakienyeji..kila mtu anadhani ili ulime ama ufuge kibiashara ni lazma uwe na products za muda mfupi.very wrong..pia mtu anadhani kufuga kuku wa kienyeji ni kuwatupia makombo ya ukoko wa ugali..kuna project ipo mkuranga. Imegharimu heka tatu kwa ajili ya kufugia kuku wa kienyeji...heka moja ni kwa ajili ya kupanda mbogamboga zinazotumika kama chakula cha kuku.mimi binafsi nina tendaya kuwapelekea dagaa chenga nazozifata kilwa pia kuna section ya kuzalisha mende na funza kwa ajili ya chakula cha kuku. Hawa ni pure kienyeji..ufugaji ili ukulipe wekeza mzee acha habari za kuanza na kuku watatu...masoko yapo msumbiji jimbo la pemba na Comoros.
Mkuu, Mlimba kijiji gani... Bei zako ziko vipi?Njoo Mlimba nikuuzie hiyo mbegu ya Singida
mimi nilishinda na ilianza na kuku 35 mwaka jana leo nina kuku 118 na vifaranga 86 usirudi nyuma japo changamoto za vifo na magonjwa usikatishwe tamaa nyanyuka endelea changamoto ni somo kwako!! incubator uliyonayo inatakiwa ilete faida UNAWEZATuseme nina kuku majike 20 wa umri sawa. Wakianza kutaga tuchukulie ratio ya 20:15 ambako kila siku napata mayai 15.
Kwa wiki nitakuwa na mayai nitakuwa na mayai 105 na kwa mwezi nitakuwa na mayai 420 nikiyaweka kwenye incubator nitaweza kupata vifaranga 300. Nikivitunza vizuri naweza kuza hadi 250.
Mpaka mda mayai yanatoka kwenye incubator tayari kuku wengine watakuwa wameanza kutaga. Hivyo utagundua nitaweza kupata kuku wengi.
Kuwa na kuku watano haimaanishi ndio uwezo au mtaji Bali najaribu kutafuta breed nzuri.
Shida wafanyakazi ndugu mwezi wa tatu nilinumua kuku25 jogoo wakiwa saba mpaka inafika July nilikuwa na vifaranga wa umri mbali mbali 93, lakini mfanyakazi akaondoka, ilibidi kuku niwatawanye kwenye miji saa hii sijui hata wako wangapimimi nilishinda na ilianza na kuku 35 mwaka jana leo nina kuku 118 na vifaranga 86 usirudi nyuma japo changamoto za vifo na magonjwa usikatishwe tamaa nyanyuka endelea changamoto ni somo kwako!! incubator uliyonayo inatakiwa ilete faida UNAWEZA