Hii ndio Sababu ya kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji

Hii ndio Sababu ya kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji

Wakuu mwenye kutoa huduma ya kutotolesha (incubator) makao makuu tuwasiliane, ninakusanya idadi nzuri ya mayai ya kienyeji nataka niyageuze kuwa kuku...
Hakikisha hayakai sana mkuu maana yanayofaa kutotoleshwa yanatakiwa yasizidi siku 7 toka kutagwa yakizidi kuna uwalakini wa kugeuka kuwa kuku
 
Kuna taarifa nyingi za upotoshaji juu ya kuku wakienyeji..kila mtu anadhani ili ulime ama ufuge kibiashara ni lazma uwe na products za muda mfupi.very wrong..pia mtu anadhani kufuga kuku wa kienyeji ni kuwatupia makombo ya ukoko wa ugali..kuna project ipo mkuranga. Imegharimu heka tatu kwa ajili ya kufugia kuku wa kienyeji...heka moja ni kwa ajili ya kupanda mbogamboga zinazotumika kama chakula cha kuku.mimi binafsi nina tendaya kuwapelekea dagaa chenga nazozifata kilwa pia kuna section ya kuzalisha mende na funza kwa ajili ya chakula cha kuku. Hawa ni pure kienyeji..ufugaji ili ukulipe wekeza mzee acha habari za kuanza na kuku watatu...masoko yapo msumbiji jimbo la pemba na Comoros.
Vipi dagaaa chenga unauza je? Suala sio idadi ya kuku, huo ulikuwa mwanzo na mpaka sasa nimefikisha kuku 20 pia naendelea kununua
 
Tuseme nina kuku majike 20 wa umri sawa. Wakianza kutaga tuchukulie ratio ya 20:15 ambako kila siku napata mayai 15.

Kwa wiki nitakuwa na mayai nitakuwa na mayai 105 na kwa mwezi nitakuwa na mayai 420 nikiyaweka kwenye incubator nitaweza kupata vifaranga 300. Nikivitunza vizuri naweza kuza hadi 250.

Mpaka mda mayai yanatoka kwenye incubator tayari kuku wengine watakuwa wameanza kutaga. Hivyo utagundua nitaweza kupata kuku wengi.

Kuwa na kuku watano haimaanishi ndio uwezo au mtaji Bali najaribu kutafuta breed nzuri.
mimi nilishinda na ilianza na kuku 35 mwaka jana leo nina kuku 118 na vifaranga 86 usirudi nyuma japo changamoto za vifo na magonjwa usikatishwe tamaa nyanyuka endelea changamoto ni somo kwako!! incubator uliyonayo inatakiwa ilete faida UNAWEZA
 
mimi nilishinda na ilianza na kuku 35 mwaka jana leo nina kuku 118 na vifaranga 86 usirudi nyuma japo changamoto za vifo na magonjwa usikatishwe tamaa nyanyuka endelea changamoto ni somo kwako!! incubator uliyonayo inatakiwa ilete faida UNAWEZA
Shida wafanyakazi ndugu mwezi wa tatu nilinumua kuku25 jogoo wakiwa saba mpaka inafika July nilikuwa na vifaranga wa umri mbali mbali 93, lakini mfanyakazi akaondoka, ilibidi kuku niwatawanye kwenye miji saa hii sijui hata wako wangapi
 
Back
Top Bottom