Kuna taarifa nyingi za upotoshaji juu ya kuku wakienyeji..kila mtu anadhani ili ulime ama ufuge kibiashara ni lazma uwe na products za muda mfupi.very wrong..pia mtu anadhani kufuga kuku wa kienyeji ni kuwatupia makombo ya ukoko wa ugali..kuna project ipo mkuranga. Imegharimu heka tatu kwa ajili ya kufugia kuku wa kienyeji...heka moja ni kwa ajili ya kupanda mbogamboga zinazotumika kama chakula cha kuku.mimi binafsi nina tendaya kuwapelekea dagaa chenga nazozifata kilwa pia kuna section ya kuzalisha mende na funza kwa ajili ya chakula cha kuku. Hawa ni pure kienyeji..ufugaji ili ukulipe wekeza mzee acha habari za kuanza na kuku watatu...masoko yapo msumbiji jimbo la pemba na Comoros.