FabNXTzqEtcgazfbjjfo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 1,486
- 1,874
Mwenye Enzi Mungu haonekani kwa Sababu yeye hayupo pamoja na Viumbe wake. Yeye yupo alipo na Viumbe wake wapo walipo hana Upendeleo na Kiumbe Yeyote yule bali ana Enzi na Viumbe wake
Yeye hausiani na Viumbe wake na Wala hakai na Viumbe wake aliwaumba na Kuwaweka Katika Sayari zake na Kila Kiumbe akamjalia akili za Kuishi kwake
Habari za kwamba Mwenye Enzi Mungu Anaongea na Viumbe wake kupitia Malaika au Mwenyewe alikuwepo Duniani si Habari Sahihi. Na kama Ingekuwa hivyo mpaka leo hii basi Angekuwa anakuja Na Kuongea na Viumbe wake
Maana Kulingana na Vitabu Mwanzo alikuwa Anaongea na Kutembea bustanini na Kuongea na Viumbe wake ila Baadae akaacha na Kuanza kutuma malaika. Ila leo hii Hata hao Malaika Hawaonekani tena, Dhana hii Haiingii akilini Kwa Mtu anayetumia akili Timamu. Kitu kinachopelekea kwamba watu wengi wamepotoshwa kumhusu Mungu na Viumbe waovu.
Mwenye Enzi Mungu hakuwahi kufanya hayo yote hajawahi kaa na Viumbe wake wala kutuma Viumbe waende kwa Viumbe wengine kumuelezea yeye alivyo.
Hawa wanaoleta Ujumbe na Kusema Ni Ujumbe wa Mungu hawajatumwa Na Mungu mwenye Vyote bali ni Viumbe waharibifu waliokuja Duniani kimagendo. Na kuwaingia watu na Kusema Kupitia Vinywa vya Watu. Kama Vile Jini anavyoingia Kwa Mtu na kusema atakavyo.
Mungu Haonekani kwa Sababu hakai na wewe hapa Duniani na Hawezi onekana a maana Hayupo pamoja na Viumbe wake. Yeye yupo alipo na Wewe upo alipotaka uwepo
ASANTENI
Yeye hausiani na Viumbe wake na Wala hakai na Viumbe wake aliwaumba na Kuwaweka Katika Sayari zake na Kila Kiumbe akamjalia akili za Kuishi kwake
Habari za kwamba Mwenye Enzi Mungu Anaongea na Viumbe wake kupitia Malaika au Mwenyewe alikuwepo Duniani si Habari Sahihi. Na kama Ingekuwa hivyo mpaka leo hii basi Angekuwa anakuja Na Kuongea na Viumbe wake
Maana Kulingana na Vitabu Mwanzo alikuwa Anaongea na Kutembea bustanini na Kuongea na Viumbe wake ila Baadae akaacha na Kuanza kutuma malaika. Ila leo hii Hata hao Malaika Hawaonekani tena, Dhana hii Haiingii akilini Kwa Mtu anayetumia akili Timamu. Kitu kinachopelekea kwamba watu wengi wamepotoshwa kumhusu Mungu na Viumbe waovu.
Mwenye Enzi Mungu hakuwahi kufanya hayo yote hajawahi kaa na Viumbe wake wala kutuma Viumbe waende kwa Viumbe wengine kumuelezea yeye alivyo.
Hawa wanaoleta Ujumbe na Kusema Ni Ujumbe wa Mungu hawajatumwa Na Mungu mwenye Vyote bali ni Viumbe waharibifu waliokuja Duniani kimagendo. Na kuwaingia watu na Kusema Kupitia Vinywa vya Watu. Kama Vile Jini anavyoingia Kwa Mtu na kusema atakavyo.
Mungu Haonekani kwa Sababu hakai na wewe hapa Duniani na Hawezi onekana a maana Hayupo pamoja na Viumbe wake. Yeye yupo alipo na Wewe upo alipotaka uwepo
ASANTENI