Hii ndio Sababu ya Mungu Kutoonekana

Hii ndio Sababu ya Mungu Kutoonekana

Kwahiyo unachomaanisha tukisali hatusikii na wala hatuoni??!!! Kwamba yeye yupo huko aliko,,na sisi tu huku tulipo ni kama umemaanisha ametutenga au nimekuelewa vibaya mkuu??!

Umeshawah jibiwa maombi?
 
Uponyaji upo ila Si Kwa Miujiza hiyo unayoiona kwa Sasa Watu hawaponywi wanapata Nafuu.

Ndugu yangu Hospitali zikiwa nyingi unachotegemea ni Wagonjwa Kupungua Si kuongezeka. Sasa hivi makanisa ya Uponyaji wa kimiujiza yanaongezeka na Wagonjwa wanazidi ongezeka. Wengi hutoa shuhuda za uongo Kuaminisha watu ili makanisa yajae

Ndugu yangu Miujiza unayoiona Mingi si miujiza ya Mungu mwenye Vyote maana hata Wachawi na Waganga pia wana Miujiza

Uko na akili sana brother
 
Kama Anaweza Vaa Vazi Jeupe anatofauti gani na Wewe mwanadamu. Kwahiyo Mungu wako ana Mwili unaoweza Kuvaa Vazi jeupe! Ndugu yangu

Halafu mnaimba Hakuna Wa Kufanana naye[emoji445][emoji445]

Halafu katika vitabu unavyoamini imeandikwa hakuna Aliyemuona Mungu akaishi. Sasa Inakuwaje wewe umemuona na Mavazi meupe amevaa bado upo JF ndugu yangu mbona Hatutumii akili timamu Tu

Dini n uongo tu
 
Back
Top Bottom