FabNXTzqEtcgazfbjjfo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 1,486
- 1,874
- Thread starter
-
- #21
Hii ni Forum huru. Si kila unachokijua wewe ndio ukweli. Unaweza Ukawa Umepotoshwa pia ndio mana unajaa HasiraUkweli unaujua Ila unajitoa akili yaani unajifanya hamnazo
Tumia tu Akili ndugu yangu Unaweza ukali mention jina Langu la JF likaja tu bila wewe kuandika na Kujichosha bure.Nimeliona jina lake tu: FabNXTzqEtcgazfbjjfo ikabidi niandike na kufuta mara 3
Umeelewa unieleweshe..?
Kwahiyo komenti yako umeelewa wewe!Nielewe wapi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwahiyo komenti yako umeelewa wewe!
Sijaelewa bado..😁Amesema Mungu hayupo tulipo yupo alipo ametuweka alipotaka tuwepo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sijaelewa bado..[emoji16]
Kwani Ushamuona Ndugu yangu? . Au unaimani tu kuwa Yupo.? Hakuna Aliyewahi muona maana Hayupo na Viumbe wakeAmesema Mungu hayupo tulipo yupo alipo ametuweka alipotaka tuwepo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwani Ushamuona Ndugu yangu? . Au unaimani tu kuwa Yupo.? Hakuna Aliyewahi muona maana Hayupo na Viumbe wake
Mawazo yangu kuwa Tofauti na Yako haimaanishi wewe usitumie Akili timamu Kujua Ukweli au Uongo.nafikiri mada yako ingekuwa na mashiko kama ungelizia kuwa; HAYO NI MAWAZO YAKO!
Namaanishe usitake kuaminisha watu waamini unachokiamini kwani kila mtu ana uhuru wa kufikiri na kuja na mawazo yake!
Ana Umbo gani na Amevaa nini Mpaka Ukasema amependeza ndugu yanguMi nimemwona anapendeza [emoji4]
Ile miujiza ya uponyaji inakujaje?Ana Umbo gani na Amevaa nini Mpaka Ukasema amependeza ndugu yangu
Uponyaji upo ila Si Kwa Miujiza hiyo unayoiona kwa Sasa Watu hawaponywi wanapata Nafuu.Ile miujiza ya uponyaji inakujaje?
Nahitaji kujua
Sasa wale wa kwa ma nabii na mitume wanaosema wamemwona huwa wanaona naniMwenye Enzi Mungu haonekani kwa Sababu yeye hayupo pamoja na Viumbe wake. Yeye yupo alipo na Viumbe wake wapo walipo hana Upendeleo na Kiumbe Yeyote yule bali ana Enzi na Viumbe wake
Yeye hausiani na Viumbe wake na Wala hakai na Viumbe wake aliwaumba na Kuwaweka Katika Sayari zake na Kila Kiumbe akamjalia akili za Kuishi kwake
Habari za kwamba Mwenye Enzi Mungu Anaongea na Viumbe wake kupitia Malaika au Mwenyewe alikuwepo Duniani si Habari Sahihi. Na kama Ingekuwa hivyo mpaka leo hii basi Angekuwa anakuja Na Kuongea na Viumbe wake
Maana Kulingana na Vitabu Mwanzo alikuwa Anaongea na Kutembea bustanini na Kuongea na Viumbe wake ila Baadae akaacha na Kuanza kutuma malaika. Ila leo hii Hata hao Malaika Hawaonekani tena, Dhana hii Haiingii akilini Kwa Mtu anayetumia akili Timamu. Kitu kinachopelekea kwamba watu wengi wamepotoshwa kumhusu Mungu na Viumbe waovu.
Mwenye Enzi Mungu hakuwahi kufanya hayo yote hajawahi kaa na Viumbe wake wala kutuma Viumbe waende kwa Viumbe wengine kumuelezea yeye alivyo.
Hawa wanaoleta Ujumbe na Kusema Ni Ujumbe wa Mungu hawajatumwa Na Mungu mwenye Vyote bali ni Viumbe waharibifu waliokuja Duniani kimagendo. Na kuwaingia watu na Kusema Kupitia Vinywa vya Watu. Kama Vile Jini anavyoingia Kwa Mtu na kusema atakavyo.
Mungu Haonekani kwa Sababu hakai na wewe hapa Duniani na Hawezi onekana a maana Hayupo pamoja na Viumbe wake. Yeye yupo alipo na Wewe upo alipotaka uwepo
ASANTENI
Sawa.uponyaji genuine unakujajeUponyaji upo ila Si Kwa Miujiza hiyo unayoiona kwa Sasa Watu hawaponywi wanapata Nafuu.
Ndugu yangu Hospitali zikiwa nyingi unachotegemea ni Wagonjwa Kupungua Si kuongezeka. Sasa hivi makanisa ya Uponyaji wa kimiujiza yanaongezeka na Wagonjwa wanazidi ongezeka. Wengi hutoa shuhuda za uongo Kuaminisha watu ili makanisa yajae
Ndugu yangu Miujiza unayoiona Mingi si miujiza ya Mungu mwenye Vyote maana hata Wachawi na Waganga pia wana Miujiza
Akili ikipagawa unaweza Sema Chochote. Waulize hata Zile lugha wanazonena Huwa Wanaongea nini hawawezi kukujibuSasa wale wa kwa ma nabii na mitume wanaosema wamemwona huwa wanaona nani
Sent using Jamii Forums mobile app