ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Nina uhakika hata ulichokileta haukielewiYanga mumepata mseleleko Sasa kazi mnayio ππ
View: https://www.instagram.com/p/DAO9o1wM3K5/?igsh=MTc5aDRia2NxbWtjag==
My Take: Safari yenu imefika mwisho
Binafsi, labda Al Ahly. Hao wengine wapo ambao walishalambwa na Yanga.Yanga mumepata mseleleko Sasa kazi mnayio ππ
View: https://www.instagram.com/p/DAO9o1wM3K5/?igsh=MTc5aDRia2NxbWtjag==
My Take: Safari yenu imefika mwisho
Simba wao ni wakubwa watapangwa kundi la vibonde
View: https://www.instagram.com/p/DAO5-s9PIh2/?igsh=MWFjeGlnbXJjbDY0Mw==
Msamehe tu maana makolo vichwa vigumu sana kuelewa.Nina uhakika hata ulichokileta haukielewi
Bila shaka haelewi, anadhani yanga atakutana na timu zote za pot no 1.Nina uhakika hata ulichokileta haukielewi
Pot 1 ya kombe gani?Naona Simba inaweka rekodi nyingine hapa.. Simba inekuwa timu ya kwanza Tanzania kuwahi kuwekwa Pot 1.
Naona Simba inaweka rekodi nyingine hapa.. Simba inekuwa timu ya kwanza Tanzania kuwahi kuwekwa Pot 1.
Mods wangekuwa wanafuta mada za kiduanzi kama hizi.Nina uhakika hata ulichokileta haukielewi
Kombe la wanawake ?!Naona Simba inaweka rekodi nyingine hapa.. Simba inekuwa timu ya kwanza Tanzania kuwahi kuwekwa Pot 1.
Al Ahly huyu aliocheza jana na simba au mwengine? Mimi sio Yanga ila Kwa uchezaji wao wa sasa wale Al Ahly walikuwa wanapigwa week nzima game ya jana ile yani 7-0.Binafsi, labda Al Ahly. Hao wengine wapo ambao walishalambwa na Yanga.
Kwahiyo mwakaj ana yanga kaenda Hadi robo alipangiwa kundi la vibonde?kama niridhiki ya yanga kwenda robo fainali ataenda TU hata apangwe kundi gani.Yanga mumepata mseleleko Sasa kazi mnayio ππ
View: https://www.instagram.com/p/DAO9o1wM3K5/?igsh=MTc5aDRia2NxbWtjag==
My Take: Safari yenu imefika mwisho
Simba wao ni wakubwa watapangwa kundi la vibonde
View: https://www.instagram.com/p/DAO5-s9PIh2/?igsh=MWFjeGlnbXJjbDY0Mw==
Walimaharage vinaunguruma tumboni Simbwa sc.Yanga mumepata mseleleko Sasa kazi mnayio ππ
View: https://www.instagram.com/p/DAO9o1wM3K5/?igsh=MTc5aDRia2NxbWtjag==
My Take: Safari yenu imefika mwisho
Simba wao ni wakubwa watapangwa kundi la vibonde
View: https://www.instagram.com/p/DAO5-s9PIh2/?igsh=MWFjeGlnbXJjbDY0Mw==
Hapana, siyo huyo wa Libya, Anayetajwa hapo ni Al ahly ya MisriAl Ahly huyu aliocheza jana na simba au mwengine? Mimi sio Yanga ila Kwa uchezaji wao wa sasa wale Al Ahly walikuwa wanapigwa week nzima game ya jana ile yani 7-0.
Mimi ni Simba ila bila unafiki Simba ya sasa iko slow sana kwenye ushambuliaji na speed ya kuelekea langoni wamaliziaji hakuna na magoli yao yote yameegamia kwenye kubahatisha zaidi na uzembe wa timu pinzani. Yani goli hulioni linavyotafutwa linatokea tu kama zali.
Hivi Makundi yatapangwa lini
Oct.7Hivi Makundi yatapangwa lini
Ni sahihi kabisa huyo haeleweki kitu kuhusu pot na upangaji wa makundiNina uhakika hata ulichokileta haukielewi