Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,658
Sio lazima kila mtu aandike,usilolijua uliza kwanzaAs a general rule, every match suspension (of players and other persons) is carried over from one round to the next in the same competition.
Sasa Fahk alipata kadi katika mashindano mawili tofauti
As a general rule, every match suspension (of players and other persons) is carried over from one round to the next in the same competition.
Sasa Fahk alipata kadi katika mashindano mawili tofauti
TFF washasema,.. KANUNI ZIMEKIUKWA.... swala la kadi tatu halipo hapo, iwe ni kweli ama la!.. FIFA hawasimamii kanuni za ligi wanasimamia sheriaKwa mujibu wa simba fakhi alipata kadi zote tatu katika mechi za ligi kuu,, so tff ndo watakaotoa ushahd ambao FIFA watautumia kutoa maamuzi.
Simba SC wakienda kweli FIFA Kesho tu asubuhi Yanga FC mtalileta wenyewe Kombe letu mitaa ya Msimbazi. .
Uko sahihi kabisa mkuu. Mikia wanadhani FIFA itaenda kuangalia mambi ya ushahidi.... mfano eti kweli kadi zilitolewa au hazikutolewa. Hiyo haipo kabisa, haima utaratibu kama huo. Cha kutazama hapo ni kama sheria zilifuatwa.TFF washasema,.. KANUNI ZIMEKIUKWA.... swala la kadi tatu halipo hapo, iwe ni kweli ama la!.. FIFA hawasimamii kanuni za ligi wanasimamia sheria
Duuuu! mkuu kipigo si mlikula lakini? vumilieni tu hayo maumivu labda msimu ujao tutawaachia nanyi japo mara moja
Mwongo kabisa wewe.wewe ndo msuluhishi?Siku nyingine uwe unajitahidi kuficha ujinga wako Mkuu. Kwa kukusaidia tu kama Wewe ni Mtu wa Yanga FC kweli na unayajua ya ndani kabisa fuatilia haraka ujue nini kinaendelea sasa na kwanini Viongozi wa Yanga FC na wale Wabunge wa Yanga huku kukiwepo na Mwakilishi mmoja kutoka SportPesa wanapanga kwenda kutafuta suluhu kwa Uongozi wa Simba SC ili tu Simba wasiende huko FIFA kwa hofu moja kubwa tu kwamba ukweli ukijulikana TFF inaweza kuadhibiwa, Ligi Kusimamishwa na kubwa zaidi kuathiri uwakilishi wa Yanga FC kimataifa na pia kuathiri Udhamini wa SportPesa ambao kuna uwezekano mkubwa wao ndiyo wakawa Main Sponsor msimu ujao wa Premier League.
Jifunze kutofautisha Facebook ambapo kumejazana Wenzako mnaofanana Kiakili na huku JF ambapo ni Home of Great Thinkers.
Simba SC wakienda kweli FIFA Kesho tu asubuhi Yanga FC mtalileta wenyewe Kombe letu mitaa ya Msimbazi. Ombea tu haya mazungumzo yaende vizuri na busara itumike vinginevyo kuna dhahama kubwa inakuja na ambayo itamuharibia sana Rais Malinzi anayetaka kuwa Rais tena wa TFF katika Uchanguzi Mkuu ujao wa mwezi August 2017.
Wacha uongo we we wamatopeni fc.hayo mazungumzo unayaendesha wewe?
Mwongo kabisa wewe.wewe ndo msuluhishi?