Hii ndio sheria itakayo waumbua Simba sc Fifa

Hii ndio sheria itakayo waumbua Simba sc Fifa

baada ya simba kufungwa kule kaitaba, akapeleka malalamiko yake kwenye kamati ya masaa 72. Kamati ulipotoa uamuzi kagera sugar hakuridhika, akakata rufaa kwenda Tff. Maamuzi ya kamati ya masaa 72 yakapigwa chini, simba hawajaridhika na ndo sababu wanakata rufaa FIFA
Mpaka hapo tupo pamoja. Sasa vigezo ambavyo kamati y TFF ilivyotumia kupiga chini ule.uamuzi wa kamati ya saa 72 ambayo iliridhika kwamba kuna kadi tatu ndipo utata ulipo. Wao walisema rufaa au malalamiko ya simba hayakuwasilishwa kwa wakati, na pia hayakulipiwa ada. Swali langu bado linarudi palepale, kadi tatu zinahitaji rufaa na kulipiwa ada? Ili si linajulikana tu kwamba kama mchezaji ana kadi tatu za njano haruhusiwi kucheza mchezo unaofuata? Hata timu pinzani isipolalamika ile timu iliyofanya kosa inaadhibiwa na kanuni kama ilivyofanyika kwa Azam dhidi ya Mbeya City. Nadhani kuna kitu hakikuwekwa wazi au kama una maelezo ya ziada nijuze mkuu.
 
Siku nyingine uwe unajitahidi kuficha ujinga wako Mkuu. Kwa kukusaidia tu kama Wewe ni Mtu wa Yanga FC kweli na unayajua ya ndani kabisa fuatilia haraka ujue nini kinaendelea sasa na kwanini Viongozi wa Yanga FC na wale Wabunge wa Yanga huku kukiwepo na Mwakilishi mmoja kutoka SportPesa wanapanga kwenda kutafuta suluhu kwa Uongozi wa Simba SC ili tu Simba wasiende huko FIFA kwa hofu moja kubwa tu kwamba ukweli ukijulikana TFF inaweza kuadhibiwa, Ligi Kusimamishwa na kubwa zaidi kuathiri uwakilishi wa Yanga FC kimataifa na pia kuathiri Udhamini wa SportPesa ambao kuna uwezekano mkubwa wao ndiyo wakawa Main Sponsor msimu ujao wa Premier League.

Jifunze kutofautisha Facebook ambapo kumejazana Wenzako mnaofanana Kiakili na huku JF ambapo ni Home of Great Thinkers.

Simba SC wakienda kweli FIFA Kesho tu asubuhi Yanga FC mtalileta wenyewe Kombe letu mitaa ya Msimbazi. Ombea tu haya mazungumzo yaende vizuri na busara itumike vinginevyo kuna dhahama kubwa inakuja na ambayo itamuharibia sana Rais Malinzi anayetaka kuwa Rais tena wa TFF katika Uchanguzi Mkuu ujao wa mwezi August 2017.
wewe siku haikamiliki bila kusema uongo
 
Siku nyingine uwe unajitahidi kuficha ujinga wako Mkuu. Kwa kukusaidia tu kama Wewe ni Mtu wa Yanga FC kweli na unayajua ya ndani kabisa fuatilia haraka ujue nini kinaendelea sasa na kwanini Viongozi wa Yanga FC na wale Wabunge wa Yanga huku kukiwepo na Mwakilishi mmoja kutoka SportPesa wanapanga kwenda kutafuta suluhu kwa Uongozi wa Simba SC ili tu Simba wasiende huko FIFA kwa hofu moja kubwa tu kwamba ukweli ukijulikana TFF inaweza kuadhibiwa, Ligi Kusimamishwa na kubwa zaidi kuathiri uwakilishi wa Yanga FC kimataifa na pia kuathiri Udhamini wa SportPesa ambao kuna uwezekano mkubwa wao ndiyo wakawa Main Sponsor msimu ujao wa Premier League.

Jifunze kutofautisha Facebook ambapo kumejazana Wenzako mnaofanana Kiakili na huku JF ambapo ni Home of Great Thinkers.

Simba SC wakienda kweli FIFA Kesho tu asubuhi Yanga FC mtalileta wenyewe Kombe letu mitaa ya Msimbazi. Ombea tu haya mazungumzo yaende vizuri na busara itumike vinginevyo kuna dhahama kubwa inakuja na ambayo itamuharibia sana Rais Malinzi anayetaka kuwa Rais tena wa TFF katika Uchanguzi Mkuu ujao wa mwezi August 2017.
sasa wewe mbona upo mbali simba wameombwa lini acha kujipa moyo kama wameenda kitambo tuu
 
Mpaka hapo tupo pamoja. Sasa vigezo ambavyo kamati y TFF ilivyotumia kupiga chini ule.uamuzi wa kamati ya saa 72 ambayo iliridhika kwamba kuna kadi tatu ndipo utata ulipo. Wao walisema rufaa au malalamiko ya simba hayakuwasilishwa kwa wakati, na pia hayakulipiwa ada. Swali langu bado linarudi palepale, kadi tatu zinahitaji rufaa na kulipiwa ada? Ili si linajulikana tu kwamba kama mchezaji ana kadi tatu za njano haruhusiwi kucheza mchezo unaofuata? Hata timu pinzani isipolalamika ile timu iliyofanya kosa inaadhibiwa na kanuni kama ilivyofanyika kwa Azam dhidi ya Mbeya City. Nadhani kuna kitu hakikuwekwa wazi au kama una maelezo ya ziada nijuze mkuu.
ahaaa, tuko vizuri hadi hapo. sio jukumu la TFF kufuatilia ni mchazaji gani anacheza huku akiwa na adhabu ya kutumikia. Ni jukumu la timu na utashi wa mchezaji husika. Kwa kawaida hata kamati au vyombo husika vikiona kuna dosari kama hiyo lazima iziite timu husika zijieleze kuhusu dosari hiyo, haiwezi kaa tu mezani yenyewe na kutoa maamuzi. Timu au mtu yeyote anepeleka malalamiko kwenye kamati kuhusu kuweko dosari katika mchezo flani lazima afuate taratibu na masharti. pamoja na mambo mengini taratibu hizo ni kufikisha malalamiko yako ndani ya mda uliowekwa, na kwamba ni lazima ulipie ada itakayoambatana na hati yako ya malalamiko.
 
Siku nyingine uwe unajitahidi kuficha ujinga wako Mkuu. Kwa kukusaidia tu kama Wewe ni Mtu wa Yanga FC kweli na unayajua ya ndani kabisa fuatilia haraka ujue nini kinaendelea sasa na kwanini Viongozi wa Yanga FC na wale Wabunge wa Yanga huku kukiwepo na Mwakilishi mmoja kutoka SportPesa wanapanga kwenda kutafuta suluhu kwa Uongozi wa Simba SC ili tu Simba wasiende huko FIFA kwa hofu moja kubwa tu kwamba ukweli ukijulikana TFF inaweza kuadhibiwa, Ligi Kusimamishwa na kubwa zaidi kuathiri uwakilishi wa Yanga FC kimataifa na pia kuathiri Udhamini wa SportPesa ambao kuna uwezekano mkubwa wao ndiyo wakawa Main Sponsor msimu ujao wa Premier League.

.

Mkuu Simba wamesha wasilisha rufaa yao FIFA sasa sijui unazungumza nini kuhusu hao viongozi wa Yanga unaosema kuelekea simba sc kutafuta suluhu.....
 
Siku nyingine uwe unajitahidi kuficha ujinga wako Mkuu. Kwa kukusaidia tu kama Wewe ni Mtu wa Yanga FC kweli na unayajua ya ndani kabisa fuatilia haraka ujue nini kinaendelea sasa na kwanini Viongozi wa Yanga FC na wale Wabunge wa Yanga huku kukiwepo na Mwakilishi mmoja kutoka SportPesa wanapanga kwenda kutafuta suluhu kwa Uongozi wa Simba SC ili tu Simba wasiende huko FIFA kwa hofu moja kubwa tu kwamba ukweli ukijulikana TFF inaweza kuadhibiwa, Ligi Kusimamishwa na kubwa zaidi kuathiri uwakilishi wa Yanga FC kimataifa na pia kuathiri Udhamini wa SportPesa ambao kuna uwezekano mkubwa wao ndiyo wakawa Main Sponsor msimu ujao wa Premier League.

Jifunze kutofautisha Facebook ambapo kumejazana Wenzako mnaofanana Kiakili na huku JF ambapo ni Home of Great Thinkers.

Simba SC wakienda kweli FIFA Kesho tu asubuhi Yanga FC mtalileta wenyewe Kombe letu mitaa ya Msimbazi. Ombea tu haya mazungumzo yaende vizuri na busara itumike vinginevyo kuna dhahama kubwa inakuja na ambayo itamuharibia sana Rais Malinzi anayetaka kuwa Rais tena wa TFF katika Uchanguzi Mkuu ujao wa mwezi August 2017.



Kuhusu hilo suala la Yanga SC kutaka suluhu ni kama kizingizio ambacho mnapanga kukitumia pale FIFA watakapo toa maamuzi yanayo fanana na yale ya TFF...


Ili tu ionekane suala limemalizwa baina ya pande mbili ili kukwepa aibu.
 
ahaaa, tuko vizuri hadi hapo. sio jukumu la TFF kufuatilia ni mchazaji gani anacheza huku akiwa na adhabu ya kutumikia. Ni jukumu la timu na utashi wa mchezaji husika. Kwa kawaida hata kamati au vyombo husika vikiona kuna dosari kama hiyo lazima iziite timu husika zijieleze kuhusu dosari hiyo, haiwezi kaa tu mezani yenyewe na kutoa maamuzi. Timu au mtu yeyote anepeleka malalamiko kwenye kamati kuhusu kuweko dosari katika mchezo flani lazima afuate taratibu na masharti. pamoja na mambo mengini taratibu hizo ni kufikisha malalamiko yako ndani ya mda uliowekwa, na kwamba ni lazima ulipie ada itakayoambatana na hati yako ya malalamiko.
Nimekuelewa mkuu, lakini kuna kitu nitatafuta mwenyewe nijue zaidi ukweli wake.
 
Simba hawajielewi...jambo litaisha ivi ivi kimya kimya.. Na yanga ndio bingwa Mara tatu mfululuzo na anayo haki kwasababu kakabidhiwa kombe lake na kashinda kihalali
 
Hakuna chochote kile kinachoendelea ama nisikipate au nisikijue iwe katika Nyanja zozote zile. Dishi langu la Kihabari / Kitaarifa nimelitega karibu katika pembe zote za maeneo au taasisi. au unataka pia nikupe nini kiliendelea jana usiku pale Mwanza katika Kambi ya Yanga FC kuanzia mida ya Saa 3 hadi Saa 4 na robo ( na dakika 15 ) usiku?

Hapana chezea GENTAMYCINE.
Mkuu nipe udambwidambi kidogo maana Hawa vyura hovyo sana Niko moto nao sana
 
lalamiko wanalofikisha ni kupokwa poiinti zao walizopewa. FIFA itakuwa inasikiliza rufaa hili ikiwa ni rufaa ya pii. Utaratibu unaoangaliwa ni kama kamati iliyopangua maamuzi ya kamati ya kwanza ilikuwa sahihi kufanya vile. Sababu ziko wazi, maamuzi ya kamati ya saa 72 yalitenguliwa kwa sababu ilionekana simba hawakufuata utaratibu. kazi ya FIFA, kama rufaa itakuwa imefika kwa kufuata taratibu zilizowekwa, ni kuangalia tu utaratibu wa TFF katika kufikisha malalamiko na hatua za kuyatatua. Issue za sijui nani alicheza akiwa na kadi sijui ngapi FIFA watarirudisha kwa kamati husika ndani ya TFF, kama tu hiyo FIFA itaona kamati ya rufaa ya TFF hawakupaswa kutengua maamuzi.
Unafikiri fifa ni wajinga kihivo?
 
Siku nyingine uwe unajitahidi kuficha ujinga wako Mkuu. Kwa kukusaidia tu kama Wewe ni Mtu wa Yanga FC kweli na unayajua ya ndani kabisa fuatilia haraka ujue nini kinaendelea sasa na kwanini Viongozi wa Yanga FC na wale Wabunge wa Yanga huku kukiwepo na Mwakilishi mmoja kutoka SportPesa wanapanga kwenda kutafuta suluhu kwa Uongozi wa Simba SC ili tu Simba wasiende huko FIFA kwa hofu moja kubwa tu kwamba ukweli ukijulikana TFF inaweza kuadhibiwa, Ligi Kusimamishwa na kubwa zaidi kuathiri uwakilishi wa Yanga FC kimataifa na pia kuathiri Udhamini wa SportPesa ambao kuna uwezekano mkubwa wao ndiyo wakawa Main Sponsor msimu ujao wa Premier League.

Jifunze kutofautisha Facebook ambapo kumejazana Wenzako mnaofanana Kiakili na huku JF ambapo ni Home of Great Thinkers.

Simba SC wakienda kweli FIFA Kesho tu asubuhi Yanga FC mtalileta wenyewe Kombe letu mitaa ya Msimbazi. Ombea tu haya mazungumzo yaende vizuri na busara itumike vinginevyo kuna dhahama kubwa inakuja na ambayo itamuharibia sana Rais Malinzi anayetaka kuwa Rais tena wa TFF katika Uchanguzi Mkuu ujao wa mwezi August 2017.
well said mkuu
 
Mnakumbuka sakata la Nurdin Bakari na Ngorongoro heroes tuliondolewa kwenye mashindano kwa sababu sheria inasema hata kwa bahati mbaya ukikosea umri timu inatolewa kwenye mashindano tatizo lilikuwa ni human error juu ya umri wa Nurdin Bakari kwenye cheti cha kuzaliwa na passport zilipishana
 
Siku nyingine uwe unajitahidi kuficha ujinga wako Mkuu. Kwa kukusaidia tu kama Wewe ni Mtu wa Yanga FC kweli na unayajua ya ndani kabisa fuatilia haraka ujue nini kinaendelea sasa na kwanini Viongozi wa Yanga FC na wale Wabunge wa Yanga huku kukiwepo na Mwakilishi mmoja kutoka SportPesa wanapanga kwenda kutafuta suluhu kwa Uongozi wa Simba SC ili tu Simba wasiende huko FIFA kwa hofu moja kubwa tu kwamba ukweli ukijulikana TFF inaweza kuadhibiwa, Ligi Kusimamishwa na kubwa zaidi kuathiri uwakilishi wa Yanga FC kimataifa na pia kuathiri Udhamini wa SportPesa ambao kuna uwezekano mkubwa wao ndiyo wakawa Main Sponsor msimu ujao wa Premier League.

Jifunze kutofautisha Facebook ambapo kumejazana Wenzako mnaofanana Kiakili na huku JF ambapo ni Home of Great Thinkers.

Simba SC wakienda kweli FIFA Kesho tu asubuhi Yanga FC mtalileta wenyewe Kombe letu mitaa ya Msimbazi. Ombea tu haya mazungumzo yaende vizuri na busara itumike vinginevyo kuna dhahama kubwa inakuja na ambayo itamuharibia sana Rais Malinzi anayetaka kuwa Rais tena wa TFF katika Uchanguzi Mkuu ujao wa mwezi August 2017.
Punguza mihemko kidogo basi ndg yangu tusubiri haki itendeke ili iwe funzo kama ni makosa ya tff basi ijifunze kulingana na kukosea kwao kama walitenda haki basi ijulikane pia, FIFA hakunaga longolongo.. Afu usipende kuchanganya mambo yanayowahusu simba na tff kwa yanga..
 
Fifa ilitoa mwongozo dunia nzima vyama vyote vya soka viwe na kamati ya ligi na bodi ya ligi kusimia ligi husika ya nchi hili kuondoa figisu figusu kama hizi lakini naona TFF hawako sawa na hii kamati ya ligi
 
kweli Aveva amezishikilia akili za ma-mbu-mbu-mbu fc. yaani kweli mnategemea kabisa kabisa FIFA watoe ushindi kwa timu iliyoshindwa uwanjani kwa kutumia kanuni nyepesi hii? ulizeni kwanza wapi hili lilishawahi kufanikiwa!

afu na nyie yeboyebo (vyura) fc....ile kufungwa na Mbao jana kumewaondolea kabisa hadhi ya kuwa mabingwa. hamfai wala hamstahili kuwa bingwa bora VPL title isiwe na mwenyewe!! yule mwalimu wa kutoka Uwembani si lolote si chochote.....bora mrudisheni Pluijm.
 
IMG-20170521-WA0144.jpg
 
Back
Top Bottom