Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
Hii shule kwa kupiga One tu imeshindikana.Hii ni shule ya vipanga tuu inapeperusha bendera ya Mkoa wa Mbeya .
View: https://www.instagram.com/p/DFKnRXhsulD/?igsh=MTVmc2J1OGY3OHFkMA==
Mkuu taratibu kidogo kwenye kutajanatajana hukuna zero
Hao wanaishiaga wapi? hatuwaoni kokote kule, Hii matokeo ya mitihani ya Taifa ni sanaa tupu hakuna uhalisiaHii ni shule ya vipanga tuu inapeperusha bendera ya Mkoa wa Mbeya .
View: https://www.instagram.com/p/DFKnRXhsulD/?igsh=MTVmc2J1OGY3OHFkMA==
Nenda kwenye saili zao kwenye uandikishaji wapo lazi wawe na wanafunzi 12 tu kwa mwaka interview ya watu 350
80% wanatoka Dar es SalaamHii ni shule ya vipanga tuu inapeperusha bendera ya Mkoa wa Mbeya .
Hivi ni form 2 kumbe nikajua form six?Hao wanaishiaga wapi? hatuwaoni kokote kule, Hii matokeo ya mitihani ya Taifa ni sanaa tupu hakuna uhalisia
Kuna Dada mmoja tulifanya naye kazi, binti yake alisoma hii shule na akapiga One ya 7 sasa kuna siku akanikutanisha naye nikawa na mdadisi dadisi kimtindo, sikuamini. Hizi shule kuna namna wanfanya na hasa kuwa karirisha mno watoto past paper. Watoto mtaani ni weupe huwezi aminiHii shule kwa kupiga One tu imeshindikana.
Wanawachunga sana Watoto issue wakitoka apo wakaja mtaani ndio wanakuwa wateja wazuri wa wavuvi camp.
Ni form 2 na wapo 92 sio 91, yaan bado safari bado ila ni haki yao kufurahia matokeo80% wanatoka Dar es Salaam
Hahaha mkuu kwani wewe unataka one ya 7 au unataka nini ndugu muajiri? Maana ukipeleka vyeti mnachoangalia sana ni A A A A A A A A A hakuna kingine cha zaidiKuna Dada mmoja tulifanya naye kazi, binti yake alisoma hii shule na akapiga One ya 7 sasa kuna siku akanikutanisha naye nikawa na mdadisi dadisi kimtindo, sikuamini. Hizi shule kuna namna wanfanya na hasa kuwa karirisha mno watoto past paper. Watoto mtaani ni weupe huwezi amini
Sababu ya kukosa ajira ndio mifumo itawakataa sasa waangalie soko la ajira linachotaka ni nini kwa sasa, translators wanatafutwa kila areaConcern ni kwamba haya matokeo haya akisi uhalisia wowote na hao watoto wanakuja kupotea hutawasikia daima.
Tutafute hela za Ada inayotosha mkuu ulichoandika hapa ni hasira tu ila hao wanaofauru hizo shule tuwape pongezi tu..kama kupata one ya 7 ni kipimo cha elimu bora,hebu mtoe mwanao huko shule mweke mtaani,mwambie aitumie hy one yake ya 7. Kule EMS schools wanamezeshwa mitihani, hawana tofauti na hawa wa kayumba. shule au elimu bora,mtaala wake umejikita mwanafunzi aweze kukabiliana na mazingira,. eti upo hapa unajipga kifva mtoto wako amepata one ya 7 anatofauti gani na aliyepata dvn 2 ya 19 kayumba? pesa nying mtaala uleule shtuka
wanakuelewa kwanza hawa vichaa. Elimu ya tanzania ni udwanzi mtupu yani mtoto anasisitizwa kusolve past papers kumtaka akariri maswali.kama kupata one ya 7 ni kipimo cha elimu bora,hebu mtoe mwanao huko shule mweke mtaani,mwambie aitumie hy one yake ya 7. Kule EMS schools wanamezeshwa mitihani, hawana tofauti na hawa wa kayumba. shule au elimu bora,mtaala wake umejikita mwanafunzi aweze kukabiliana na mazingira,. eti upo hapa unajipga kifva mtoto wako amepata one ya 7 anatofauti gani na aliyepata dvn 2 ya 19 kayumba? pesa nying mtaala uleule shtuka
Zero brain,kinachompa nafasi mtu pale ni uwezo wake tuu na Kwa taarifa Yako wengi ni WA Mkoa wa Mbeya80% wanatoka Dar es Salaam
Wanalinda brandNenda kwenye saili zao kwenye uandikishaji wapo lazi wawe na wanafunzi 12 tu kwa mwaka interview ya watu 350
ππππππππππππ Kuna maisha Nje ya vyeti usimgasi asije kuwa stressed akajinyonga.Hongereni bwana wewe watoto hapo ,sisi wengine mitoto yetu imezungusha Sasa hivi nikiingia sebleni linakimbilia jikoni ,nikiingia jikoni liko chooni haki kuzaa sio kazi Ila kazi kulea
Wapo.maeneo mbalimbali wanajenga Taifa.Hao wanaishiaga wapi? hatuwaoni kokote kule, Hii matokeo ya mitihani ya Taifa ni sanaa tupu hakuna uhalisia
Shida sio yeye kuwa kipanga wala kilaza shida ni kwanini asome shule ya hela alafu azungushe ?ππππππππππππ Kuna maisha Nje ya vyeti usimgasi asije kuwa stressed akajinyonga.
Kuna siku au mahala atakuja kukufaa,in most cases Hawa vipnga wanawahi kuacha Wazazi wanaenda huko mbali hao unaowaona hawana maana ndio wanakuwaga jiranj na Wazazi.
Mimi nataka niwe na vipanga na wale wenye akili za kawaida maana hao ni rahisi Kukaa nao uzeenj na lazima Kuna sehemu wata fit.