Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Hivyo halafu kuna fala mmoja anasema wamevujishiwa mtihani wao huchukua vipanga tu hawangalii hela akoWanalinda brand
Pale wanachofanya kuwakaririsha maswali mengi kadri wawezavyo kwakuwa wanajua.Kuna Dada mmoja tulifanya naye kazi, binti yake alisoma hii shule na akapiga One ya 7 sasa kuna siku akanikutanisha naye nikawa na mdadisi dadisi kimtindo, sikuamini. Hizi shule kuna namna wanfanya na hasa kuwa karirisha mno watoto past paper. Watoto mtaani ni weupe huwezi amini
St Francis sio shule ya kusifiwa kwa maana wao hawachukia wanafunzi wasiokuwa na uwezoHii ni shule ya vipanga tuu inapeperusha bendera ya Mkoa wa Mbeya .
View: https://www.instagram.com/p/DFKnRXhsulD/?igsh=MTVmc2J1OGY3OHFkMA==
Shule Bora Tanzania nzima ππ
View: https://www.instagram.com/p/DFLImzhIogl/?igsh=b2gwc3pybW92M3h1
Acheni kupayakua shule inachukua wanafunzi wenye uwezo tu haina maana yoyote ileHii shule ni mali yangu. Najivunia kumiliki shule inayotoa vipanga.
Shule zote hizi zinachaja wanafunzi kwa hiyo sioni sababu ya kuzisifia hata kidogoHii ni shule ya vipanga tuu inapeperusha bendera ya Mkoa wa Mbeya .
View: https://www.instagram.com/p/DFKnRXhsulD/?igsh=MTVmc2J1OGY3OHFkMA==
Shule Bora Tanzania nzima ππ
View: https://www.instagram.com/p/DFLImzhIogl/?igsh=b2gwc3pybW92M3h1
Kwani yale majamaa yaliyojisifia kuhamishia watoto St. Kayumba kwamba ni jambo la tija yenyewe yanasemaje?
FactIngawa wanachukua cream...lakini itakua wanafundisha sana na mazingira bora
Acha wivu.Acheni kupayakua shule inachukua wanafunzi wenye uwezo tu haina maana yoyote ile
Ndio, huwa wanafundishwa mpaka kuandika.Hao si ndio mpaka miandiko huwa wanafanana?