chavka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 223
- 46
Mh kiukweli swala hilo nigumu kwani mimba sio sababu ya kuoa ila nimoja ya matokeo ya kidunia then ukiona mwanamke anaolewa na mimba kuwa na mashaka 100% kwani hapo hakunapenzi ila ubabaishaji m2pu. na pili habu fafanua vizuri maana ya "ndoa" coz wa2 weng ha2jui. je? nikuingiliana kimwili au kwenda msikitini au kanisani?