Hii ndio "Status" ya Jeshi la Polisi kwa sasa

Hii ndio "Status" ya Jeshi la Polisi kwa sasa

Mpwa wangu Mentor, kuna vitu ambavyo vinahitaji utulivu tu na maamuzi ya busara, tunaweza au ninaweza kuli-shape taratibu na kimya kimya hadi siku moja kila mtu akalifurahia, sio uchawi. Ni kuamua tu siku moja kuwafumbia macho na masikio hao wakubwa. Kwa mfano tukisema na tukaamua kuwa IGP iwe ni post ya kutangazwa na kusailiwa huoni tutakua na mwanzo mzuri, then tunashuka hadi kwa ma-RPC kuwa wawe promoted si kwa vigezo vya undugu, urafiki, udini, ukanda au ukabila, kunakuwa na Kamati huru yenye kuyafanya haya, huoni tutakua na mwanzo mzuri na kuwa na jeshi la mfano?
Au Askari wetu mmoja amekosea, basi awe punished openly na instantly kusiwe na kusita wala kuyumbisha, Yes We can
Inawezekana kabisa kuwafanyia Usaili,wa-Kenya wameweza.Cha muhimu tui-ingize katika sheria Mama [KATIBA].
 
Mkuu Elli.
Najivunia kusoma darasa na shule moja na wewe. Magamba boys haikutoa wavivu wa kufikiri.

Umeeleza ukweli ambao ni mgumu kukubaliwa na Polisi wenyewe au hata wakubwa wao, umedadavua mifano ambayo kila aliye wahi kuwa mikononi mwa Polisi anaijua na kuilewa vizuri kadhia iliyo wahi kuwa mbele yake.

Kwa kweli kama tunahitaji kuwa na jeshi la Polisi bora na lenye tija ambalo wananchi watakuwa na imani nalo angalau kwa 90% lazima tukubali kulifanyia mnyumbuliko wa hali ya juu, kuna haja ya kufumua mfumo wa kuwapata vijana wanao ingia kwenye mafunzo ya uaskari kwa kuwa na vetting nzuri, sifa bora na mafunzo bora kuliko ilivyo sasa.

Nimependa moyo wako wa kutaka kujitolea kuandika training mannual kwa ajili ya mafunzo. Amini nakuambia, mafunzo wanayo pata polisi wetu niya kutumia nguvu zaidi kuliko akili, hawa jamaa huwa hawana muda wa kufikiri kwa usahihi na kutenda kwa usahihi wanapo kutana na chaangamoto ya mhemuko wa raia mbele yao. Hapa na mimi nitakuunga mkono, naweza andaa Training mannual ya "Approach and critical questioning".

Hii inaweza kuwasaidia kwenye utendaji wao wa kila siku tofauti na ilivyo sasa ambapo Polisi wanaamini kumtesa mtuhumiwa ili waupate ukweli, polisi wanaamini kutumia nguvu hata pasipo paswa kutumia nguvu, polisi wanaamini kuua au kujeruhi kwa amri ya mkubwa ndio cheo kipande.

Lazima tufanye mabadiliko makubwa ya mfumo wa jeshi letu, hawawezi kujihubiri kuwa wao ni wana usalama wakati kila siku wanazalisha uhasama na raia.
 
Last edited by a moderator:
Kaka niko pamoja sana na wewe, ngoja mwenye kusikia na askie na mwenye kuelewa na aelewe
Mkuu Elli.
Najivunia kusoma darasa na shule moja na wewe. Magamba boys haikutoa wavivu wa kufikiri.

Umeeleza ukweli ambao ni mgumu kukubaliwa na Polisi wenyewe au hata wakubwa wao, umedadavua mifano ambayo kila aliye wahi kuwa mikononi mwa Polisi anaijua na kuilewa vizuri kadhia iliyo wahi kuwa mbele yake.

Kwa kweli kama tunahitaji kuwa na jeshi la Polisi bora na lenye tija ambalo wananchi watakuwa na imani nalo angalau kwa 90% lazima tukubali kulifanyia mnyumbuliko wa hali ya juu, kuna haja ya kufumua mfumo wa kuwapata vijana wanao ingia kwenye mafunzo ya uaskari kwa kuwa na vetting nzuri, sifa bora na mafunzo bora kuliko ilivyo sasa.

Nimependa moyo wako wa kutaka kujitolea kuandika training mannual kwa ajili ya mafunzo. Amini nakuambia, mafunzo wanayo pata polisi wetu niya kutumia nguvu zaidi kuliko akili, hawa jamaa huwa hawana muda wa kufikiri kwa usahihi na kutenda kwa usahihi wanapo kutana na chaangamoto ya mhemuko wa raia mbele yao. Hapa na mimi nitakuunga mkono, naweza andaa Training mannual ya "Approach and critical questioning".

Hii inaweza kuwasaidia kwenye utendaji wao wa kila siku tofauti na ilivyo sasa ambapo Polisi wanaamini kumtesa mtuhumiwa ili waupate ukweli, polisi wanaamini kutumia nguvu hata pasipo paswa kutumia nguvu, polisi wanaamini kuua au kujeruhi kwa amri ya mkubwa ndio cheo kipande.

Lazima tufanye mabadiliko makubwa ya mfumo wa jeshi letu, hawawezi kujihubiri kuwa wao ni wana usalama wakati kila siku wanazalisha uhasama na raia.
 
Kaka niko pamoja sana na wewe, ngoja mwenye kusikia na askie na mwenye kuelewa na aelewe[/QUOTE

subiri kidogo uone akili za watanzania flan ambao wamelewa siasa flan.. watakupinga sasa hivi hata hapo hawataona mantik na ukweli.. subiri kidogo utaskia...

WEWE UNAAKILI NZURI ULIPASWA KUPEWA UKUU WA WILAYA TATIZO LAKO MOJA TU.... hukumpigia baba nanii kifua wakati wa kampen yan hata waandish tu wa habari wamekuja kupanda V8
 
Tatizo linaanzia pale polisi wanapotoka depo kwenda kwenye vituo vya kazi; wakati huo polisi hao wapya wanakuwa hawajaanza kupokea mshahara kwa kile kiachoitwa wanaandaa taratibu za malipo ambazo kuna wakati miezi mitatu inapita bila ya hawa polisi wapya kuanza kupokea mishahara.Hivyo njia lahisi kwa wakuu wa vituo huwa wanawapangia vijana hao wapya dolia kila siku ili waweze kukamata watu hovyo mitaani kwaajili ya kujipatia rushwa ili waweze kujikimu.kuthibitisha hilo,angalia wakati depo mpya ya askari wanapoingia mijini huwa ni karaha saana,watu wanakamatwa hovyo.Sasa hapo ndipo tabia ya kupenda rushwa inap[ojengeka hadi inafikia askari rushwa anaiona kama ni haki yake vile
 
Iko valid kabisa naifananisha na bibilia iliyoandikwa miaka mingi lakini kama imeandikwa leo kwa yanayoendelea duniani. Asante kwa kuigusia tena wageni wajionee
 
Iko valid kabisa naifananisha na bibilia iliyoandikwa miaka mingi lakini kama imeandikwa leo kwa yanayoendelea duniani. Asante kwa kuigusia tena wageni wajionee
asante sana sana kwa good remark. Natamani watu wengi wangesoma hapa
 
Mimi nadhani wafanye restructuring ya jeshi hili upya. Kila mkoa wapewe jeshi lao la polisi kama ilivyo marekani. Yaani Dar es salaam Police Department, Mwanza PD
Hii itasaidia sana kupunguza haya yatokeayo leo.
Kila kitengo wachukue watu wanaofaa na sio kama ilivyo sasa.
Wapewe uniform zao pamoja na makoti yanayoonesha wao ni DarPD, wale wa crime scene wapewe zao pia etc.
Hata wale wa madawa ya kulevya, sababu Dar ndio hub kubwa ya madawa iundwe department yao na iwe open na wawe na uniform zao.
Wapewe training upya jinsi ya kudeal na wahalifu etc, wafundishwe pia sheria zao, za wahalifu pia.
 
i wish wangesoma hii kitu hapa
Mimi nadhani wafanye restructuring ya jeshi hili upya. Kila mkoa wapewe jeshi lao la polisi kama ilivyo marekani. Yaani Dar es salaam Police Department, Mwanza PD
Hii itasaidia sana kupunguza haya yatokeayo leo.
Kila kitengo wachukue watu wanaofaa na sio kama ilivyo sasa.
Wapewe uniform zao pamoja na makoti yanayoonesha wao ni DarPD, wale wa crime scene wapewe zao pia etc.
Hata wale wa madawa ya kulevya, sababu Dar ndio hub kubwa ya madawa iundwe department yao na iwe open na wawe na uniform zao.
Wapewe training upya jinsi ya kudeal na wahalifu etc, wafundishwe pia sheria zao, za wahalifu pia.
 
Na mimi naomba nianze na Mods; Dear Mods hiki ninachoandika ni facts based na sio sio maneno ya kuokoteza, nikipata picha tutatupia pia, naomba muivumilie tu.

Ndugu zangu yafuatayo ni matukio mbali mbali yanayoipa Jeshi letu la Polisi Mtazamo hasi kwenye Jamii yetu, matukio haya hayazingatii wakati (chronological) kikubwa ni tukio lenyewe.



  1. Ni Jeshi la Wala Rushwa Wakubwa: Nenda kituo chochote kile cha Polisi sasa hivi, report tukio lolote lile lakini liwe linakuhusu wewe, ni lazima utaambiwa utoe kitu kidogo. Kama hutaambiwa direct basi utajengewa mazingira ya kuwapa kitu chochote (hii inajumuisha vitengo vyote unavyovijua vya Polisi) Kwa mfano; kujiunga Na jeshi hilo lazima utoe kidogo, hapa na mimi yalinikuta nilipotaka kujiunga na Polisi mwaka 2000 kupitia Mkoa wa Tanga, nikakosa pesa ya kutoa na nikakosa nafasi, Trafiki Barabarani ndio usiseme, last time nimesafiri ilibidi niwape maparachichi, ni omba omba. Rushwa kubwa inawahusu wakubwa wa jeshi hili na matukio yapo wazi kwa leo tuyaache kwanza Ona mfano huu
  2. Jeshi la Wauwaji: Refer matukio mengi yanayoteka hivi karibuni currently yule mtoto aliepigwa risasi ya kisogoni na askari, askari kujipiga risasi, Mwangosi, wafanyabiashara wa madini. Majambazi siku hizi hawakamatwi wakiwa HAI bali ni risasi tu ndio zinatembea, sijuikama wanafundishwa kulinda au kuua. Nina hakika wasingewaua wangeweza kudhibiti source za haya mambo.
  3. Jeshi la Dhuluma: Refer mali za watu hapa zinazoporwa na Polisi (matukio ya Mtwara ni udhihirisho) Kamanda mmoja wa Polisi alikutwa anatumia gari lililokuwa la Wafanyabiashara wa Madini ambao waliuwawa. Ongeza
  4. Jeshi la Kulinda Wachache: Refer mikutano ya siasa inavyozuiliwa bila sababu za kimantiki ili tu kulinda maslahi ya watu wachache, refer mauwaji ya wananchi kwenye Migodi, mamia wanapoteza maisha; Soma japo kwa ufupi sehemu hii
  5. Jeshi la Madawa ya Kulevya: Refer madawa yaliyokamatwa Mbeya baadae jamaa wakaweka unga madawa wakauza, huku mtaani kwangu jamaa wanasema kabisa Polisi wanawadai pesa ili wasiwakamate na wakija kwako wakikamata madawa basi wanawauzia wengine ili wakauze. Jamaa anasema unaweza pigiwa simu na Polisi ukifika wanakwambia mzigo huu hapa panda dau.....Refer pia magunia ya Bangi 18 tena yalikamatwa kwenye Gari la Polisi - Kilimanjaro tena Refer askari waliopata ajali Arusha wakisafirisha bangi asubuhi asubuhi kwenye gari ndogo




Possible Causes
  1. Maslahi duni sana ya Askari wetu ukilinganisha na nature ya kazi yao
  2. Kulifanya jeshi la Polisi la watu waliofeli na kufoji vyeti
  3. Askari wachache kulazimishwa kulinda maslahi ya wakubwa wachache
  4. Kukosa nidhamu ya kazi kutokana na mfumo wenyewe wa jeshi kukosa udhobiti na kugeukia kwenye siasa

What is the Way Forward
  1. IGP iwe ni taaluma ya kuomba, kusailiwa na kuchaguliwa
  2. Askari wapate haki zao stahili kwa wakati ikiwepo matibabu na makazi
  3. Overtime ziwe zenye maslahi
  4. entry point za polisi ipimwe kutokana na uelewa na sio vyeti wala kuangalia urefu au ufupi wa mtu
  5. Various training courses zifanywe both psychological and physical sio kushika bunduki tu

Haya ni machache tu lakini NJIA RAHISI ya kutoka hapa tulipo ni hii; Jeshi letu lijitambue kuwa ni la Raia kwa faida ya raia wote wakubwa na wadogo, ni wajibu wao kutulinda. Nipo tayari kuwanadaalia Training Manual ya kisasa na curriculum ili kuokoa jeshi letu.

nawasilisha

Umenena kwa hawa Form 4 Failure na Standard 7, ila ukimwona Policcm aliyesoma ujue ame resit siyo chini ya mara 3 ndiyo akaendelea na masomo, pia hili lina changia sana kwa maana wana low level of thinking capacity.
Leo mtu huyu anapewa DHAMANA YA KULINDA RAIA NA MALI ZAO unategemea atafanya nini?

Ndiyo maana kila mara wanapofanya UTUMBO FLANI wanasingizia tumepewa Order kutoka JUU, na kusahau wao si Maroboti wa kusetiwa. They should think before act, sasa basi kutokana na LOW LEVEL OF THINKING CAPACITY ndiyo maana wanatenda bila kufikiri mara nyingi sana.

Mimi nadhani pia katika Sector hii ya ULINZI NA USALAMA na Sector ya Elimu VILAZA WASIWE NA NAFASI, WAPELEKWE KWENYE PHYSICAL LABOUR.


 
Na mimi naomba nianze na Mods; Dear Mods hiki ninachoandika ni facts based na sio sio maneno ya kuokoteza, nikipata picha tutatupia pia, naomba muivumilie tu.

Ndugu zangu yafuatayo ni matukio mbali mbali yanayoipa Jeshi letu la Polisi Mtazamo hasi kwenye Jamii yetu, matukio haya hayazingatii wakati (chronological) kikubwa ni tukio lenyewe.



  1. Ni Jeshi la Wala Rushwa Wakubwa: Nenda kituo chochote kile cha Polisi sasa hivi, report tukio lolote lile lakini liwe linakuhusu wewe, ni lazima utaambiwa utoe kitu kidogo. Kama hutaambiwa direct basi utajengewa mazingira ya kuwapa kitu chochote (hii inajumuisha vitengo vyote unavyovijua vya Polisi) Kwa mfano; kujiunga Na jeshi hilo lazima utoe kidogo, hapa na mimi yalinikuta nilipotaka kujiunga na Polisi mwaka 2000 kupitia Mkoa wa Tanga, nikakosa pesa ya kutoa na nikakosa nafasi, Trafiki Barabarani ndio usiseme, last time nimesafiri ilibidi niwape maparachichi, ni omba omba. Rushwa kubwa inawahusu wakubwa wa jeshi hili na matukio yapo wazi kwa leo tuyaache kwanza Ona mfano huu
  2. Jeshi la Wauwaji: Refer matukio mengi yanayoteka hivi karibuni currently yule mtoto aliepigwa risasi ya kisogoni na askari, askari kujipiga risasi, Mwangosi, wafanyabiashara wa madini. Majambazi siku hizi hawakamatwi wakiwa HAI bali ni risasi tu ndio zinatembea, sijuikama wanafundishwa kulinda au kuua. Nina hakika wasingewaua wangeweza kudhibiti source za haya mambo.
  3. Jeshi la Dhuluma: Refer mali za watu hapa zinazoporwa na Polisi (matukio ya Mtwara ni udhihirisho) Kamanda mmoja wa Polisi alikutwa anatumia gari lililokuwa la Wafanyabiashara wa Madini ambao waliuwawa. Ongeza
  4. Jeshi la Kulinda Wachache: Refer mikutano ya siasa inavyozuiliwa bila sababu za kimantiki ili tu kulinda maslahi ya watu wachache, refer mauwaji ya wananchi kwenye Migodi, mamia wanapoteza maisha; Soma japo kwa ufupi sehemu hii
  5. Jeshi la Madawa ya Kulevya: Refer madawa yaliyokamatwa Mbeya baadae jamaa wakaweka unga madawa wakauza, huku mtaani kwangu jamaa wanasema kabisa Polisi wanawadai pesa ili wasiwakamate na wakija kwako wakikamata madawa basi wanawauzia wengine ili wakauze. Jamaa anasema unaweza pigiwa simu na Polisi ukifika wanakwambia mzigo huu hapa panda dau.....Refer pia magunia ya Bangi 18 tena yalikamatwa kwenye Gari la Polisi - Kilimanjaro tena Refer askari waliopata ajali Arusha wakisafirisha bangi asubuhi asubuhi kwenye gari ndogo




Possible Causes
  1. Maslahi duni sana ya Askari wetu ukilinganisha na nature ya kazi yao
  2. Kulifanya jeshi la Polisi la watu waliofeli na kufoji vyeti
  3. Askari wachache kulazimishwa kulinda maslahi ya wakubwa wachache
  4. Kukosa nidhamu ya kazi kutokana na mfumo wenyewe wa jeshi kukosa udhobiti na kugeukia kwenye siasa

What is the Way Forward
  1. IGP iwe ni taaluma ya kuomba, kusailiwa na kuchaguliwa
  2. Askari wapate haki zao stahili kwa wakati ikiwepo matibabu na makazi
  3. Overtime ziwe zenye maslahi
  4. entry point za polisi ipimwe kutokana na uelewa na sio vyeti wala kuangalia urefu au ufupi wa mtu
  5. Various training courses zifanywe both psychological and physical sio kushika bunduki tu

Haya ni machache tu lakini NJIA RAHISI ya kutoka hapa tulipo ni hii; Jeshi letu lijitambue kuwa ni la Raia kwa faida ya raia wote wakubwa na wadogo, ni wajibu wao kutulinda. Nipo tayari kuwanadaalia Training Manual ya kisasa na curriculum ili kuokoa jeshi letu.

nawasilisha

Ongeza:

MAUAJI YA KULIPWA!
Mara nyingi poliCCM hukodiwa na kuahidiwa kulipwa mamilioni ya pesa za mlipakodi/mwananchi/mlalahoi kwa ajili ya kuua raia wasiokuwa na hatia. Hii ni kazi inayofanywa kwa makusudi kwa lengo la kuwadhoofisha UKAWA. Jisomee mwenyewe:
http://www.mwananchi.co.tz/hab...
 
You're wasting your time buddy. Diplomatic solutions wiii never end corruption and other kind of evils done by the current police force in tz. What we need now is total demolition of the current police unit. Put all the cops out of of action for 6 month suspend everybody out there! Jwtz can take charge of police activities during those 6 months. Recruit some fresh blood of educated youths and train them to be the proper police of the people!a

The problem is, is it possible?
 
Mpwa Elli hii topic inabidi iwe sticky.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom