myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Una ndoto nzuri, ingekuwa rahisi hivyo tangu mwaka jana angemaliza...FSB sio mchezo subiri mwamba Putin avunje vunje hivyo vinchi airudishe KGB ikiwa mpya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una ndoto nzuri, ingekuwa rahisi hivyo tangu mwaka jana angemaliza...FSB sio mchezo subiri mwamba Putin avunje vunje hivyo vinchi airudishe KGB ikiwa mpya
Usiwe na akili za kushikiwa na kukaririshwa mambo kama Kasuku. Urusi ukiondoa nuclear zake hata Finland au Poland anaweza kumkalisha, nchi 30 zitahitaji siku 30 kuifutulia mbali Urusi. Kwa sasa Urusi inapigana na Ukraine.Ila hii ishu wacha tutenge macho na masikio tuone kinachoendelea. Kupigana na nchi zaidi ya 30. Sio kitu kidogo sana. ( NATO vs Russia ) kuna kitu kimoja nakiona ambacho sio cha kushabikia sana maana naona kama ndo End of Timu kwa generation yetu. Maana kikiwaka apokei mtu
Bila misaada ya NATO , ukrainw angekuwepo leo ??Usiwe na akili za kushikiwa na kukaririshwa mambo kama Kasuku. Urusi ukiondoa nuclear zake hata Finland au Poland anaweza kumkalisha, nchi 30 zitahitaji siku 30 kuifutulia mbali Urusi. Kwa sasa Urusi inapigana na Ukraine.