Hii ndio Tanzania, wageni wameanza kuijua

Hii ndio Tanzania, wageni wameanza kuijua

Ondoeni Kenyan section muone kama mtaona mkenya hapa,
Tuko hapa juu ya hii section,without it ni ZERO.
Mbona ninyi katika ndege zenu mumeandika "Kilimanjaro, Ngorongo " lakini hakuna mtanzania hata mmoja anayefanya kazi ndani ya hizo ndege?, Kenya news maana yake sio ukurasa wa wakenya, ila ni habari zinazowahusu wakenya. Hii habari ya Tanzania kujitosheleza bila kuhitaji nchi yoyote ya East Africa inawahusu wakenya pia.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Mbona ninyi katika ndege zenu mumeandika "Kilimanjaro, Ngorongo " lakini hakuna mtanzania hata mmoja anayefanya kazi ndani ya hizo ndege?, Kenya news maana yake sio ukurasa wa wakenya, ila ni habari zinazowahusu wakenya. Hii habari ya Tanzania kujitosheleza bila kuhitaji nchi yoyote ya East Africa inawahusu wakenya pia.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Heeeee!!!tena juu zipo timamu kweli, unalinganishaje flights na majukwaa ya siasa[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Yani mafuta ya kupika ndio yanakutia kiwewe hivi?[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo ndipo wakenya mnapokosea katika uchumi, Kenyans produce what they don't consume, and consume what they don't produce, unfortunately what Kenya produces for export is less than what it imports for its consumption.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo ndipo wakenya mnapokosea katika uchumi, Kenyans produce what they don't consume, and consume what they don't produce, unfortunately what Kenya produces for export is less than what it imports for its consumption.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kenya has been producing oil and exporting it for for decades
 
Hapo ndipo wakenya mnapokosea katika uchumi, Kenyans produce what they don't consume, and consume what they don't produce, unfortunately what Kenya produces for export is less than what it imports for its consumption.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂 Ndio maana hurukaruka kwa furaha wanapoona bandari yao inaongoza ukanda huu kwa kuingiza mizigo ambayo almost 85% is destined for Kenya, wao wanaona kitu cha maana sana 😂😂😂😂
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Lamest joke ever
Dude, Tanzania just started producing oil the other day. Kenya has been supplying you with oil like forever before you banned it due to jealousy.
 
Dude, Tanzania just started producing oil the other day. Kenya has been supplying you with oil like forever before you banned it due to jealousy.
Who told you so? FYI Tanzania has never been dependent on your food, toka nikiwa mdogo nikisafiri barabarani hukosi kuona madumu ya mafuta ya alizeti

Yaani huku mafuta ya alizeti yanakuwa processed in a home level (homemade) na yanauzwa kama nyanya.
 
Back
Top Bottom