Hii ndio Tanzania, wageni wameanza kuijua

Hii ndio Tanzania, wageni wameanza kuijua

Kuna vitu niliandika kuhusu faida unazokosa humu Jf kwa kujifanya eti wewe unashinda kenyani section bahati mby mods wameifuta ile comment na cjajua wamemaanisha nn au huenda wameona inatoa influence watu kudharau dawa za wazungu but I wanted to tell you that unakosa mambo mengi muhimu kwa kuendekeza huo upuuzi wa kenyani section.
Faida gani jomba wakati nyi wenyewe mnatukanwa hadi basi
 
We jamaa siagi na Kimbo ni za hao kengele
Who told you so? FYI Tanzania has never been dependent on your food, toka nikiwa mdogo nikisafiri barabarani hukosi kuona madumu ya mafuta ya alizeti

Yaani huku mafuta ya alizeti yanakuwa processed in a home level (homemade) na yanauzwa kama nyanya.
 
If you want somebody wipe your ass, these are reasons:-
1. Wewe ni mtoto
2. Wewe ni mzee hujiwezi
3. Wewe ni mgonjwa
4. Wewe ni shogha
Choose the correct answer.
But you do wipe our asses. So what are you?
 
Back
Top Bottom