Hii ndio thamani ya miwani ya Mo Dewji

Hii ndio thamani ya miwani ya Mo Dewji

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
IMG_20240613_144221_712.jpg


Kama wewe ni mpenzi wa Fashion naimani utakuwa uliiona Miwani aliyoivaa MoDewji siku ambayo alikuwa anaongea na mashabiki wa Simba Sc kufuatia sintofahamu ya baadhi ya wajumbe kujiengua kwenye nafasi zao.

Miwani aliyoivaa Mo inaitwa Alexander Mcqueen AM0372S-001 ni custom made with Diamond plated. Miwani hiyo thamani yake ni Euro 243 sawa na 685,000 Tsh.

20240613_141121.jpg


Credit - HabariMtandaoni
 
View attachment 3016442

Kama wewe ni mpenzi wa Fashion naimani utakuwa uliiona Miwani aliyoivaa MoDewji siku ambayo alikuwa anaongea na mashabiki wa Simba Sc kufuatia sintofahamu ya baadhi ya wajumbe kujiengua kwenye nafasi zao.

Miwani aliyoivaa Mo inaitwa Alexander Mcqueen AM0372S-001 ni custom made with Diamond plated. Miwani hiyo thamani yake ni Euro 243 sawa na 685,000 Tsh.

View attachment 3016448

Credit - HabariMtandaoni
ID yako imenifanya nishindwe kumaliza kusoma ulichoandika
 
S
View attachment 3016442

Kama wewe ni mpenzi wa Fashion naimani utakuwa uliiona Miwani aliyoivaa MoDewji siku ambayo alikuwa anaongea na mashabiki wa Simba Sc kufuatia sintofahamu ya baadhi ya wajumbe kujiengua kwenye nafasi zao.

Miwani aliyoivaa Mo inaitwa Alexander Mcqueen AM0372S-001 ni custom made with Diamond plated. Miwani hiyo thamani yake ni Euro 243 sawa na 685,000 Tsh.

View attachment 3016448

Credit - HabariMtandaoni
So what?
 
Ina maana pamoja na uhoehae wangu, kumbe ninavaa miwani ya gharama kubwa kumzidi Tajiri Mo?
 
Sasa nishaelewa kwanini anatoa pesa za kuwasajiri kina Jobe na sawadogo. Cheap cheap products!
 
Watu huwa mnakosa kazi za kufanya, kwa hiyo miwani ya Euro $243???
Hata hivyo sio kila mwenye hela anapenda show off kama malimbukeni waliopatia hela ukubwani
Kama angekuwa ameinunua kwa kuzingatia dhamani, basi hiyo haingekuwa hadhi ya kipato chake ILA atakuwa amenunua kwa kuzingania mahitaji yake
 
View attachment 3016442

Kama wewe ni mpenzi wa Fashion naimani utakuwa uliiona Miwani aliyoivaa MoDewji siku ambayo alikuwa anaongea na mashabiki wa Simba Sc kufuatia sintofahamu ya baadhi ya wajumbe kujiengua kwenye nafasi zao.

Miwani aliyoivaa Mo inaitwa Alexander Mcqueen AM0372S-001 ni custom made with Diamond plated. Miwani hiyo thamani yake ni Euro 243 sawa na 685,000 Tsh.

View attachment 3016448

Credit - HabariMtandaoni
Aisee nilijua $243,000 kunbe ni 243, mimi kapuku nilikuwa na Ray-Ban ya £165 ikaanguka na kupasuka kioo kimoja.
 
Back
Top Bottom