nyanimzungu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 1,204
- 934
Baby naomba uninunulie iphoneMWANAUME MWENZAKO AKIKUPIGA MZINGA UTASIKIA
1.mwanangu ehee unaweza nitoa buku nichukue msosi.
2.mwana ehee una jelo hapo tuagize kirobaa.
3.mwanangu. Ehee Leo hali mbaya nisaidie hata buku mbili nichukue msosi .
4.oyaa ehee una mia mbili hapo nichukue fegii kidogo.
MIZINGA YA MADEMU.
1.bby naomba hela kusuka nahitaji kama eflu 20.
2.my dear nadaiwa ya kodi
3.bby naomba hela ya umeme
Haya endelenii kutajaa
[emoji1] [emoji1] ukishasikia ya jirani/karibu ujue hiyo hairudiOyaa masela, kuna mwenye buku ya karibu hapo?
Hahaha Mkuu dah una maana mshikaji akiomba mia ya master sport hutoi kitu ila kwa mchuchu hata laki utatoaa ,Mi huwa nawajibu kamuombe mzazi wako.
Mwanamke anaweza kumchukia mwanamke mwenzie kisa kapendeza[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kauzu wanawake hawapendani kwa kifupi tuu Mkuu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] poa nichukulie na me master sm washa kabisaOya kichaa wangu nitoe mia nichukue master sport hapo.
Baby, can we share your ATM password please?? ATM card yake iko kwa wallet yangu, wakat huo niko kifuani nacheza na garden love saut lainiiii kwa skio namnong'oneza then km namng'ata flani ivi , lazma atoe mjini shule shamba kilimo!!
Baby niazime dk 1 nipate tamu yakoVipi mizinga ya mwanaume kwa mwanamke?