Hii ndio Zawadi/gari aliyopewa Mshindi wa Miss Tanzania 2018

tatizo wadhamini, ingetakiwa wawape Nissan Tz au Toyota Tz ndio wawe wanatoa udhamini wa gari za hawa Miss,
 
Lile dude lina mchango wangu mkubwa tu
 
Huyo master ni nani? Anahusika na ishu gani tujisogeze mkuu
 
Happiness Magese pekeyake ndio alipata zawadi ya haki... NISSAN HARDBOARD BRAND NEW
Kunako 2005, Sylvia Bahame alipewa Nissan Patrol Double cabin, Richa Adhia yule Mhindi nae alipewa kama hilo la Bahame, iweje huyu apewe used car?
Au hali ya uchumi imekuwa ngumu?
 
thamani ya pesa imepanda sana,
thamani ya gari hilo ni sawa na magari yale zama zile.
 
Na mbwembwe zote kwenye matangazo mshindi kapata hii? Bora wangempa keshiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…