Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Dah hawa wanawake wanadhalilishwa ndio maana miss Tz wanakuja kuwa malaya kisa ni huu upuuzi.Tusionge sana bhana
Kama kusoma ujui hata picha uoni bhana...
Waiter zungusha tena Bapa na Ice cubeView attachment 860838
Ah ah ah ah ah kuna mambo mengine yanachekesha sanaDah hawa wanawake wanadhalilishwa ndio maana miss Tz wanakuja kuwa malaya kisa ni huu upuuzi.
Naongea tuTokea umiss umeanza uliona wapi wasukuma, wakurya au wajita wakashinda urembo? Unajua sura zao + ushamba wao au unaongea tu?
Hii hapa hebu angalia aibu hiiYa miss TZ anapewa Terrios KID??? Sijui ni suzuki Swift iyo???
HahaaaahaaaDongo litatokea SIMIU tulia tu utasikia
afadhali ingekuwa hivyo .Basi wangetoa trekta ikaeleweka moja, tukakodishe ruvu, njombe, mbeya, iringa nk
Tangu nikufahamu leo ndio umeandika jambo la maana !Dah hawa wanawake wanadhalilishwa ndio maana miss Tz wanakuja kuwa malaya kisa ni huu upuuzi.
Gari ndio ile ile seme imeoshwa...ile nyingine ilipigwa wakati haijaoshwa...lakini hii ndio gari ya kumpa miss tanzania kweli?
Kwa CC za Hizo Gari pesa ya mafuta itakuwa ShidaKwa promotion zote hizi walishindwa hata Brevis/Mark X/Crown/Progress used kutafuta!!...
Nani kashinda!??miss rukwa na vazi la asili jamani
Nani kashinda!??
Wekeni picha ..tukaone..dada wa Arusha,no15 ,mie hata sioni urembo wake,wote walikua wazuri lakini