Hii ndio Zawadi/gari aliyopewa Mshindi wa Miss Tanzania 2018

Hii ndio Zawadi/gari aliyopewa Mshindi wa Miss Tanzania 2018

Ya miss TZ anapewa Terrios KID??? Sijui ni suzuki Swift iyo???
Hii hapa hebu angalia aibu hii
Gari atakalopewa mshindi wa - NewMissTanzania2018.  Karibu - JNICC, shughuli imean.jpg
 
Gari ndio ile ile seme imeoshwa...ile nyingine ilipigwa wakati haijaoshwa...lakini hii ndio gari ya kumpa miss tanzania kweli?

Ndio ni gari hiyo hiyo
Yaani inaonyesha vyuma vimekaza.. ila baada ya juzi ile Mwanza nilitegemea gari la kizaidi juu juu hata kidogo eeeh


Picha ya post #1 mchakachuo au sio hivyo.. ila lazima wataelezea
 
Back
Top Bottom