Hii ndio Zawadi/gari aliyopewa Mshindi wa Miss Tanzania 2018

Hii ndio Zawadi/gari aliyopewa Mshindi wa Miss Tanzania 2018

Kwangu Mimi naona issue ni uchaguzi wa Gari tu, hilo Gari si chini ya milioni 10 ukiingia kwenye calculator ya TRA.


Issue ni waliochagua hilo gari walifanya makosa , Kama ningekuwa nini ningenunua hata brevis au Toyota premio , kwa hapa Dar kwa hiyo million 10 hizo Gari zingepatikana tu.



Anyway hongereni kwa shindano, Kupokea changamoto ni njia ya kufika mbali
Sasa mkuu ukipewa 10m ukanunue gari ya miss Tz nawewe ukanunua kweli gari ya 10m, utaishije hapa mjini? Hiyo gari kwenye vitabu unaweza kuta imenunuliwa 15m..!
 
Back
Top Bottom