mfilisti
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 3,641
- 19,279
bado haitoshi hata kununulia samsung S8+Bei ya sun lg
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado haitoshi hata kununulia samsung S8+Bei ya sun lg
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji87][emoji87][emoji87]bado haitoshi hata kununulia samsung S8+View attachment 861229
Hakika mambo si mambo mzunguko wa fedha mtaani ni mdogo sana matokeo yake ndio hayaTatizo wazifa umebana sana,wadhamini hamna
Baiskeli mkuuKama miss TZ kapewa huu mkweche, mshindi wa pili na wa tatu wamepata zawadi gani?
Duh! eeee bhana eeee !zawadi haijanifedheesha kama mshindi wa taji!! ni mbaya wala havutii
nikiangaliaaaaa.......
naona namba2 alistahili taji la miss tz
Baada ya kusoma ile komenti hili jibu nililitaraji. Sijui kwa nini niliwaza hiviNaona unataka kiki kutoka kwangu. Mimi ni Mr. Vipi unataka nikuoe au nikuzibue tu chemba?
auhisi kuna mkono wa mtu nyuma yake yani istoria yake katka haya mashindano ni kama ilipangwa ivii yani kwanza ki muonekano tuu anaonekana ni nyumbulestDuh! eeee bhana eeee !
wakuu nawapongeza sana, mmetuwakilisha vyema kwani mmekuwa wepesi kushika namba baada ya Joseverest kusuasuaHaka Kagari sio ka Steve Nyerere! [emoji15] [emoji15] [emoji15]
wataosha wenyewe majumbani kwao
tushawapatia inatosha
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Acha kuona aibu kwenye vitu vya kike ile hali wewe mwanaume.
Arusha inatoa mazao gani siku hizi.