franktemu123
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 1,406
- 1,475
tumevamiwa tena jamani, angalieni kaja lini hapa
inabidi tumsake mwalimu aliyewafundisha na mpishi aliyekuwa anawapikia chakula shuleni
Kwa Tanzania uwaziri na vyeo vingine vya kuteuliwa (ikiwamo ubungo wa viti maalumu eg.Vi- Kama taa) ni kulipa fadhila hali imekuwa dhahiri awamu hii ya 4
1. ngelejaaa ni fadhila kawekwa na Rosti-tamu(kumbuka alikuwa kule VO DA ambako ROSTI TAMU ana hisa kibao
2. kawa-mbwa ni binamu kabisaa wa K. J
3. Hawa Vurugu yeye ni ndugu wa Mama namba 1
4. Sophia Chui ilikuwa chakula ya K. J na mzee kitwana Kondoo allikula
5.Luku-vipi ni shosti wa siku nyingi wa KJ toka (UVCCM)
6.Si-6, Makufuli, Mwa-ndoo-syaa(wamewekwa kupotezea tu)
mwenye hii education background hapa chini anaitwa jakaya mrisho kikwete.
[table="align: Center"]
[tr]
[td]1958-1961[/td]
[td]msoga primary school[/td]
[/tr]
[tr]
[td]1962-1965[/td]
[td]lugoba midle school[/td]
[/tr]
[tr]
[td]1966-1969[/td]
[td]kibaha secondary school[/td]
[/tr]
[tr]
[td]1970-1971[/td]
[td]tanga secondary school[/td]
[/tr]
[tr]
[td]1972-1975[/td]
[td]udsm (ba economics)[/td]
[/tr]
[tr]
[td]1976-1977[/td]
[td]military training at tanzania military academy at monduli[/td]
[/tr]
[tr]
[td]1983-1984[/td]
[td]military leadership training[/td]
[/tr]
[/table]
baba collins anadai kwamba jamaa mwenye education background ya hapo juu, amesoma darasa moja na jamaa mwenye education background hapa chini. Mwenye education background ya hapa chini anaitwa hadji mponda!!!
[table="align: Center"]
[tr]
[td]1967-1970[/td]
[td]manda chini primary school[/td]
[/tr]
[tr]
[td]1971-1973[/td]
[td]nawenge primary school[/td]
[/tr]
[tr]
[td]1974-1977[/td]
[td]minaki secondary school ( o-level)[/td]
[/tr]
[tr]
[td]1978-1980[/td]
[td]tosamaganga secondary school (a-level)[/td]
[/tr]
[tr]
[td]1984-1987[/td]
[td]mzumbe (advanced diploma)[/td]
[/tr]
[tr]
[td]2003-2004[/td]
[td]london-masterz[/td]
[/tr]
[tr]
[td]2007-2010[/td]
[td]london-phd.[/td]
[/tr]
[/table]
nimeamini kwamba jf is never boring!!!
Naomba tuongee ukweli hapa sasa hapa JF. Tatizo la matatizo ya hii nchi ni mfumo. Kinachotokea ni kwamba viongozi wanataka kuishi kwa mfumo wa kurithi kutoka kwenye historia ya enzi ya CCM chama kimoja. Viongozi wengi hasa walio mawaziri wanatoka kwenye historia ya labda baba likuaga waziri, au alishakuaga mbunge miaka kadhaa iliyopita, au alishashika nyadhifa serikalini chini ya uongozi wa CCM. Sasa tukimchukulia mfano huyu Haji Mponda, kwangu mimi ni mtu ninaye mfahamu na ni mtendaji mzuri sana sana.
Yote uliyoyasema ni sahihi, kama kuna CV iliyokaa vizuri basi ni ya Dr Hussein Haji Mponda. Ameandaliwa kiuongozi kwa Stashahada ya juu kutoka hapo Mzumbe ambacho ndicho kinachotambulika kitaifa na nje ya nchi ktk fani ya uongozi. Kwenye fani ya afya ya jamiii ana shahada ya Uzalmili na Shahada ya Uzamivu kutoka Hapo London School of Tropical Hygeine, moja kati ya vyuo bora kabisa ktk fani ya public health. Sasa wnao doubt CV hii watuambie walitaka ionyeshe amesoma wapi? Kwa uzoefu amekuwa lead reseacher kwenye eneo la malaria kama mfanyakazi wa Ifakara Healtj Institute. Kwa taarifa ya wasiojua Ifakara Health Institute ilnatambulika kimataifa kama Taasisi ya utafiti wa malaria ikishirikiana na Swiss Tropical Institute & Research Centre.
Kiutendaji ktk wizara yeye si mtendaji bali ni msimamizi wa sera. Inawezekana tatizo ni la mfumo na halitokani na Dr Haji Mponda as an individual. Tunapo discuss kwa kwa kuponda kila tuna poteza malengo.
Kwa Tanzania uwaziri na vyeo vingine vya kuteuliwa (ikiwamo ubungo wa viti maalumu eg.Vi- Kama taa) ni kulipa fadhila hali imekuwa dhahiri awamu hii ya 4
1. ngelejaaa ni fadhila kawekwa na Rosti-tamu(kumbuka alikuwa kule VO DA ambako ROSTI TAMU ana hisa kibao
2. kawa-mbwa ni binamu kabisaa wa K. J
3. Hawa Vurugu yeye ni ndugu wa Mama namba 1
4. Sophia Chui ilikuwa chakula ya K. J na mzee kitwana Kondoo allikula
5.Luku-vipi ni shosti wa siku nyingi wa KJ toka (UVCCM)
6.Si-6, Makufuli, Mwa-ndoo-syaa(wamewekwa kupotezea tu)
Dr Hadji Hussein Mponda profile.
First Name: Dr. Hadji
Middle Name: Hussein
... Last Name: Mponda
Member Type: Constituency Member
Constituent: Ulanga Magharibi
Political Party: CCM
Office Location: P.O. Box 9083, Dar Es Salaam
Office Phone: +255 783 003 635
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: hmponda@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 27 September 1958
EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Manda Chini Primary School Primary Education 1967 1970 PRIMARY
Nawenge Primary School Primary Education 1971 1973 PRIMARY
Minaki Secondary School O-Level Education 1974 1977 SECONDARY
Tosamaganga Secondary School A - Level Education 1978 1980 HIGH SCHOOL
Mzumbe University Business Management 1984 1987 ADV DIPLOMA
London Univeristy Public Health 2003 2004 MASTERS DEGREE
Mzumbe University Material Management - GRADUATE
London Univeristy Public Health 2007 2010 PHD
Nimekuwa najiuliza sana kuhusu huyu waziri wa afya na jinsi anavyohandle issues za wizara yake hasa mgomo wa madaktari nikaishia kupata CV yake hii.
Nadhani kuna haja wizara kuwa zinaongozwa na watu wenye taaluma husika pengine inaweza kusaidia kuondoa mitafaruku isiyo ya lazima na adha zinazowakumba wananchi......
Nimepata kukutana na mtu wa type ya JK ambaye pia ni conservator wa Ngorongoro,inasemekana walisoma darasa moja hawa jamaa.
Swali langu ni je,mbona jamaa wengi sana waliosoma na Jk wana tabia zinazoendana? Au ilikuwa ni ka generation kalipita ka watu wa aina hiyo?
JK amedanganywa elimu ya Mponda
Dr Hadji Hussein Mponda profile.
London Univeristy Public Health 2007 2010 PHD
......