Hii ndiyo CV ya Dk. Hadji Hussein Mponda

So, mi sishangai kuwa Dr. M-ponda mawe kuwa mbumbumbu ndo bongo yetu hiyo
Pale Elimu ndo upuuzi mtupu,sijui ilikuaje.. bora hata angekewa Sofia Chui wasomi wetu wangepata mipasho ya taarabu, jamani msifanye mchezo na elimu jamani watoto wetu wanataabika
 
tumevamiwa tena jamani, angalieni kaja lini hapa




Hivyo April 2010 ndio umevamiwaa!! Eti nikweli kuwa umwanachama wa BAVICHAA, nawe ukiwa mmoja wa wale walioletwa hapa na kuambiwa kuwa huu ni mtandao wenu? Basi fahamu, tutabanana humuhumu!
 
huyu jamaa ameingia kwenye health sector juzi tu, wizara ya afya ni ngumu sana kuiongoza kama hauna background ya medicine. Public health huwa wanaenda kusoma vilaza unachukua miezi 6 tu una master yako mkononi.
 
CV inaonyesha si Daktari wa Binadamu kwa kuwa hajawahi kusomea udaktari wa binadamu (Doctor of medicine) bali daktari wa afya ya Jamii (Public Health), Kwa hiyo huyu jamaa hawezi kutatua matatizo ya madaktari.
 

Mkuu ubarikiwe sana leo nimecheka majina yako haya .Ama kweli JF ina vichwa chako mwisho
 
Wampe Hiyo Wizara Faustine Ndugulile... Muone atakavyoibadilisha hiyo Wizara... Siipendi CCM

Lakini Dr. Faustine will make a change and not this Dr. Mponda from Mzumbe
 
Naomba tuongee ukweli hapa sasa hapa JF. Tatizo la matatizo ya hii nchi ni mfumo. Kinachotokea ni kwamba viongozi wanataka kuishi kwa mfumo wa kurithi kutoka kwenye historia ya enzi ya CCM chama kimoja. Viongozi wengi hasa walio mawaziri wanatoka kwenye historia ya labda baba likuaga waziri, au alishakuaga mbunge miaka kadhaa iliyopita, au alishashika nyadhifa serikalini chini ya uongozi wa CCM. Sasa tukimchukulia mfano huyu Haji Mponda, kwangu mimi ni mtu ninaye mfahamu na ni mtendaji mzuri sana sana. Hajawi hata siku moja kushika nyadhifa yeyote serikalini au kisisasa kabla ya uchaguzi wa 2010 na kwa maana hiyo hayuko polluted kwautawala wa kihistoria. Sasa, ni lazima tutambue kwamba ni vigumu sana kwa mtu anayetoka nje ya mduara wa watu waliozoea kuishi ndani ya utawala wa kihistoria, na wanaotaka kulonda maslahi yao na ya vizazi vyao, kuleta mabadiliko. Anachokosa Dr. Haji Mponda ni support ya watu walio lelewa nje ya mfumo wa kihistoria ili kuleta mabadiliko. Ikiwa kama watu wengi ambao hawakuweko katika serikali zilizopita, na sio product ya viongozi waliopita, wataingizwa kuiongoza serikali, kwa kweli mabadiliko tutayaona. Kwa hali ilivyo kwa sasa ni vigumu sana kwa damu mpya kuleta mabadiliko. Kwa kuongezea tu, ni kwamba wizara ya afya haihitaji daktari wa binadamu kuwa waziri wala katibu mkuu. Nafasi hizi ni za kisera zaidi, hivyo zinahitaji economists, au politicians wanaoelewa uundaji na utekelezaji wa sera za afya. Na kwa kumalizia tu, Dr. Haji Mponda amesoma London School of Hygiene and Tropical Medicine ambacho ni chuo bora kwa Public Health na Health policy. Najiamini kusema kwamba sina wasi wasi na utendaji wa Dr. Haji Mponda, ila tu kuna umuhimu wa kubadilisha mfumo wa uongozi na kuondoka kwenye mfumo wa uongozi wa mazoea na kuingiza damu mpya kwa wingi.
 

umepindisha......mtoa hoja kasema kuna mtu amemkuta kule ngorongoro na sio huyu mponda........hebu soma vizuri post yake
 
 

Penye Red
umenimaliza kwa kicheko
teh teh te
 
Hata hivyo anajua mambo ya ufya kwa ujumla, mbona wizara yake inayumba sana hasa hili swala la madaktari? Kwanini asijiuzulu?
 

I think he is the righ person (see red) for that Ministry. The problem is that when come the issue of money, that is beyond his power to decide....Doctors are claiming for more pay, the money which is either released by treaury nor budgeted and approved by the Parliament

 
JK amedanganywa elimu ya Mponda
 

Huyo conservator unamaanisha chief conservator au?

Bernard Murunya au?
 
JK amedanganywa elimu ya Mponda

Joji Poji kama JK kadanganywa tupe ushahidi kwa vile kuna watu humu kwenye JF wamesoma naye. Kuliko ku generalise tu nakushauri utoe evidence kama hajasoma vyuo hivyo.
 
Dr Hadji Hussein Mponda profile.

London Univeristy Public Health 2007 2010 PHD
......

Hongera sana Mh.Mponda;
Ila suala la madaktari mkomalie Mh.Pinda mlisawazishe maana jina lako ndo linaharibika sio la Mh.Pinda.


Kumbuka ule usemi......
 
Ok! ni kazi kweli Tz, We nenda hata upande wa Sector ya Elimu tu utawakuta Akina Mlugo ni kazi kwelikweli. Sijui kama ndo Tz tunayoitaka hii. Hata bosi wao ni Kazi ileile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…