Hii ndiyo game pekee ya Taifa Stars iliyokula kiingilio changu kihalali

Hii ndiyo game pekee ya Taifa Stars iliyokula kiingilio changu kihalali

Rockcity native

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2012
Posts
2,174
Reaction score
1,445
Ilikua mwaka 2001 katika uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Ililikua Fainali ya Kombe la Castle. Stars ilishinda 3-1 dhidi ya majirani zetu Harambee Stars. Siku hiyo Stars waliupiga mwingi sana, support ilikuwa kubwa sana kutoka kwa mashabiki walioujaza Uwanja wa Kirumba.

Magoli ya Stars yalifungwa na Yusuph Macho "Musso", Emmanuel Gabriel bila kusahau goli la tatu ambalo lilikua fataki kutoka mita 40 toka kwa Salvatory Edward Agustino " Docta". Goli pekee la Kenya lilifungwa na Robert Mambo. Kipindi hicho kenya ilikua na nyota kadhaa kama Robert Mambo (Gent, Belgium), Mussa Otieno (Santos, SA), Simeon Mulama (Ismaily, Misri), Mark Sirengo.

Kikosi cha Stars

PETER MANYIKA
MECKY MEXIME
ALPHONCE MODEST
BONIPHACE PAWASA
JOHN MWANSASU
WAZIRI MAHADHI (ALIUMIA AKAINGA SELEMANI MATOLA)
SAID MAULID
SALVATORY EDWARD
JOSEPH KANIKI (ALITOKA AKAINGIA EMMANUEL GABRIEL)
YUSUPH MACHO
NTEZE JOHN

Mpaka leo bado sijaona game ya Stars iliyofikia kiwango hiki cha 2001 kikosi kilichokua chini ya Marehemu Syllersaid Mziray.
 
Wakuu napataje lile goli la Nizar Halfan pale CCM Kirumba dhidi ya Senegal?

Pia Game ya Starz dhidi ya Sudan pale Taifa kuelekea michuano ya Chan, Starz ilishinda 3-1.

Pia nitafurahi kupata Highlights za Starz na Cameroon wakatoka Draw Taifa. Wing ya kulia alicheza Ngassa akiwa na virasta vyake, kipindi ambacho ndo ameanza kuibukaibuka na kushoto Dani Mrwanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu napataje lile goli la Nizar Halfan pale CCM Kirumba dhidi ya Senegal?

Pia Game ya Starz dhidi ya Sudan pale Taifa kuelekea michuano ya Chan, Starz ilishinda 3-1.

Pia nitafurahi kupata Highlights za Starz na Cameroon wakatoka Draw Taifa. Wing ya kulia alicheza Ngassa akiwa na virasta vyake, kipindi ambacho ndo ameanza kuibukaibuka na kushoto Dani Mrwanda.

Sent using Jamii Forums mobile app

tatizo maktaba zetu hazijaweka vitu hivi kwenye YouTube

yapo magoli mengi sana ya zamani mazuri ambayo vijana wetu wa sasa walistahili wayaone.. Kuna goli alifunga Shabhan Ramadani 98' kati ya Yanga na Raja Casablanca ligi ya mabingwa afrika lilikua bao Zuri sana, acrobatic ya kufa mtu
 
Ilikua mwaka 2001 katika uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Ililikua Fainali ya Kombe la Castle. Stars ilishinda 3-1 dhidi ya majirani zetu Harambee Stars. Siku hiyo Stars waliupiga mwingi sana, support ilikuwa kubwa sana kutoka kwa mashabiki walioujaza Uwanja wa Kirumba.

Magoli ya Stars yalifungwa na Yusuph Macho "Musso", Emmanuel Gabriel bila kusahau goli la tatu ambalo lilikua fataki kutoka mita 40 toka kwa Salvatory Edward Agustino " Docta". Goli pekee la Kenya lilifungwa na Robert Mambo. Kipindi hicho kenya ilikua na nyota kadhaa kama Robert Mambo (Gent, Belgium), Mussa Otieno (Santos, SA), Simeon Mulama (Ismaily, Misri), Mark Sirengo.

Kikosi cha Stars

PETER MANYIKA
MECKY MEXIME
ALPHONCE MODEST
BONIPHACE PAWASA
JOHN MWANSASU
WAZIRI MAHADHI (ALIUMIA AKAINGA SELEMANI MATOLA)
SAID MAULID
SALVATORY EDWARD
JOSEPH KANIKI (ALITOKA AKAINGIA EMMANUEL GABRIEL)
YUSUPH MACHO
NTEZE JOHN

Mpaka leo bado sijaona game ya Stars iliyofikia kiwango hiki cha 2001 kikosi kilichokua chini ya Marehemu Syllersaid Mziray.
Lunyamila hakucheza kwa nn??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikua mwaka 2001 katika uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Ililikua Fainali ya Kombe la Castle. Stars ilishinda 3-1 dhidi ya majirani zetu Harambee Stars. Siku hiyo Stars waliupiga mwingi sana, support ilikuwa kubwa sana kutoka kwa mashabiki walioujaza Uwanja wa Kirumba.

Magoli ya Stars yalifungwa na Yusuph Macho "Musso", Emmanuel Gabriel bila kusahau goli la tatu ambalo lilikua fataki kutoka mita 40 toka kwa Salvatory Edward Agustino " Docta". Goli pekee la Kenya lilifungwa na Robert Mambo. Kipindi hicho kenya ilikua na nyota kadhaa kama Robert Mambo (Gent, Belgium), Mussa Otieno (Santos, SA), Simeon Mulama (Ismaily, Misri), Mark Sirengo.

Kikosi cha Stars

PETER MANYIKA
MECKY MEXIME
ALPHONCE MODEST
BONIPHACE PAWASA
JOHN MWANSASU
WAZIRI MAHADHI (ALIUMIA AKAINGA SELEMANI MATOLA)
SAID MAULID
SALVATORY EDWARD
JOSEPH KANIKI (ALITOKA AKAINGIA EMMANUEL GABRIEL)
YUSUPH MACHO
NTEZE JOHN

Mpaka leo bado sijaona game ya Stars iliyofikia kiwango hiki cha 2001 kikosi kilichokua chini ya Marehemu Syllersaid Mziray.
Hii ilikuwa Simba ndani ya Jezi ya Stars
 
tatizo maktaba zetu hazijaweka vitu hivi kwenye YouTube

yapo magoli mengi sana ya zamani mazuri ambayo vijana wetu wa sasa walistahili wayaone.. Kuna goli alifunga Shabhan Ramadani 98' kati ya Yanga na Raja Casablanca ligi ya mabingwa afrika lilikua bao Zuri sana, acrobatic ya kufa mtu
Swedi Mwinyi akimwita Shaba Ramadhani.Game ya kwanza Morroco Yanga walikula 6, marudino wakatoka 3-3, Jamaa walichomoa dakika za nwisho kabisa.
 
Ilikua mwaka 2001 katika uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Ililikua Fainali ya Kombe la Castle. Stars ilishinda 3-1 dhidi ya majirani zetu Harambee Stars. Siku hiyo Stars waliupiga mwingi sana, support ilikuwa kubwa sana kutoka kwa mashabiki walioujaza Uwanja wa Kirumba.

Magoli ya Stars yalifungwa na Yusuph Macho "Musso", Emmanuel Gabriel bila kusahau goli la tatu ambalo lilikua fataki kutoka mita 40 toka kwa Salvatory Edward Agustino " Docta". Goli pekee la Kenya lilifungwa na Robert Mambo. Kipindi hicho kenya ilikua na nyota kadhaa kama Robert Mambo (Gent, Belgium), Mussa Otieno (Santos, SA), Simeon Mulama (Ismaily, Misri), Mark Sirengo.

Kikosi cha Stars

PETER MANYIKA
MECKY MEXIME
ALPHONCE MODEST
BONIPHACE PAWASA
JOHN MWANSASU
WAZIRI MAHADHI (ALIUMIA AKAINGA SELEMANI MATOLA)
SAID MAULID
SALVATORY EDWARD
JOSEPH KANIKI (ALITOKA AKAINGIA EMMANUEL GABRIEL)
YUSUPH MACHO
NTEZE JOHN

Mpaka leo bado sijaona game ya Stars iliyofikia kiwango hiki cha 2001 kikosi kilichokua chini ya Marehemu Syllersaid Mziray.
Thank you, umenikumbusha majina hayo japo nilikua bado mdgo mdogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu napataje lile goli la Nizar Halfan pale CCM Kirumba dhidi ya Senegal?

Pia Game ya Starz dhidi ya Sudan pale Taifa kuelekea michuano ya Chan, Starz ilishinda 3-1.

Pia nitafurahi kupata Highlights za Starz na Cameroon wakatoka Draw Taifa. Wing ya kulia alicheza Ngassa akiwa na virasta vyake, kipindi ambacho ndo ameanza kuibukaibuka na kushoto Dani Mrwanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe wewe ni mkongwe kipindi hicho me nilikuwa nasoma shule ya msingi Wala mpira bongo zifatilii
 
Back
Top Bottom